Hongera ww mwenye kochaTumbafu, hamna kocha mbwa vichaa nyie
Wewe bila penalty ungechomoka Léo? Unajua acheni kuandika kama mmekatwa vichwa😀.Tumbafu, hamna kocha mbwa vichaa nyie
Arsenal unaongea nini? Kuna team kubwa yoyote ambayo haijakubutua?Mtaacha lini kubebwa sasa?


Kwani bila penalty mlikuwa mnachomoka mechi ya leo? Penalty mbili zote, bado unapata muda wa kuja kubong'oa huku?😀Nyie ngoja mkutane na Brighton au Brentford tuone km mtashinda kimazabe tena![]()
Mmeanza sasa, machezaji mwenyewe magarasa ila kila mkiibuka mnaruka na kocha, ashuke MUNGU sasa.Kocha wetu nae aache kuongea sana, afanye kazi ionekane....
hahahahaha, sure. looks like he has two or three mouths... hahahahaKocha wetu nae aache kuongea sana, afanye kazi ionekane....
Nina uhakika kazi huwezi kuiona kwasababu wachezaji wanashindwa ku-execute Ralf anachowapa. It's a process.......Kocha wetu nae aache kuongea sana, afanye kazi ionekane....