Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 25,012
- 56,295
Usiwe unatubishia kaka zakoHafukuzwi mkuuu nipo hapa
Usiwe unatubishia kaka zakoHafukuzwi mkuuu nipo hapa
Carrick anabaki kuinusuru timuMbona ni solskjaer pekeake? Mc kenna, Phellan, carrick wanabakia kufanya niniView attachment 2018604
Erik anatakiwa aje na management, technical bench na DoF wake.Yaani nachokiona kwa United board ni kama vile wanataka kuendeleza Identity ya Sir. Fergie na ndio maana wanazunguka kwa walewale Fletcher, Carrick, Solskjaer, Rodgers, Moyes..
Enrique / Erik ten hag ni mtu na nusu ila sasa atabadili culture nzima ya Club kwenye suala la soka uwanjani.
Ni suala la muda tu.Hizi club shida zina Culture na Identity yao, kama makombe yanakuja utaulizwa yamekuja vipi?
Mpira kwao ni kama dini
Ndio maana ni ngumu sana Club kama United, Liverpool & Arsenal kuuzwa kwa Waarabu japo mambo yana evolve.
Sawa brother nimekubali shikamooo kaka OLE JE TUNAWEZA KWENDA MBELE AU TUNARUDI NYUMA HATUA 5Usiwe unatubishia kaka zako
Bado tupo kwenye kipindi kigumu cha mpito, hivyo tutaendelea ku-struggle kiainaSawa brother nimekubali shikamooo kaka OLE JE TUNAWEZA KWENDA MBELE AU TUNARUDI NYUMA HATUA 5
Nakubali bro kweli kusimama itachukua muda kiasi but si sanaBado tupo kwenye kipindi kigumu cha mpito, hivyo tutaendelea ku-struggle kiaina
Karamba bundu lake kapita left
YahNakubali bro kweli kusimama itachukua muda kiasi but si sana
Kuwapa wachezaji mishahara mikubwa na mikataba mirefu ndo inawapa kiburi.Kikosi cha Man U Hata Brendan hatakiweza, kimejaa wachezaji wanaotaka kucheza wanavyotaka wao. Zizou kwa sasa ndio anaweza kuwamudu hao wajinga.
Au la kama wanafikiria kumpa Fletcher ukocha, basi ni bora wamfanye Ronaldo kuwa cocha mchezaji.
Dof + Coach wawe na same vision na wapresent vision ya Club kwa bodi, hii inaleta urahisi kueleweka maana bodi ya United ina uvumilivu mkubwa sana. Hawakupenda kumfukuza a club legend ila ndio basi tenaErik anatakiwa aje na management, technical bench na DoF wake.
Kwa hii management iliopo, tutamchukia baada ya msimu.
Nilishawahi sema, haya mambo ya ku consult legends yanairudisha United nyuma.Kama wanamtaka Zizou italazimika na Sir Alex aondoke Board. ZIZOU hayuko tayari kwa namna yoyote ile kuingiliwa kwenye maswala ya uwanjani, na Sir Alex, as long as he has a say in the affairs of the club, his habit of poking his fingures into the coaches business is unstoppable.
Huyo zidane naona kama tunambembeleza sana kulingana na sources akiwemo Fabrizio romano siku za nyuma...Sawa brother nimekubali shikamooo kaka OLE JE TUNAWEZA KWENDA MBELE AU TUNARUDI NYUMA HATUA 5