mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Kama ni yeye mbona kazuri.hiyo avatar umeweka ni wewe au ni mke wako?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kama ni yeye mbona kazuri.hiyo avatar umeweka ni wewe au ni mke wako?
Habari ndo hivyoInterim manager atakopofika kivipi wakati interims ni hao kina fletcher na carrick kama unavyosema?
Kwamba anajitangaza kwa man u kisa tetesi anatakiwa na man u mkuuu unafikili ulianza hata kabla yesu hajazaliwaUnafki hadi Ulaya.View attachment 2018642
Man Utd wamempa Carrick kwa mechi kadhaa wakitafuta kocha wa muda mpaka msimu utakapoisha!! Baada ya hapo ndio watafute kocha mkuu kwa msimu ujaoInterim manager atakopofika kivipi wakati interims ni hao kina fletcher na carrick kama unavyosema?
Taarifa niliyoisoma inasema Carrick anashikilia timu kusubiri ujio wa interim manager.Interim manager atakopofika kivipi wakati interims ni hao kina fletcher na carrick kama unavyosema?
Umesema siyo kocha mkali kihivyooo!? Mimi Naamini Zidane siyo kocha mkali!Huyo zidane naona kama tunambembeleza sana kulingana na sources akiwemo Fabrizio romano siku za nyuma...
Inaoneka mke anataka kubaki ufaransa, mara yeye anaaim kuwa coach wa france national team, mara bado anataka kuendelea na likizo yake
Kama hali hizi ni kweli tuachane nae mbona sio kocha mkali kihivo....
Kama Zidane itashindikana basi tutaenda na interim mpya
Laurent blanc
Rangnick
Wapo considered
Hapana nadhani jamaa aliomba radhi kwa kitendo cha kukosa penati Mara 2Unafki hadi Ulaya.View attachment 2018642
"It is with regret that we have reached this difficult decision," United said.Roho inaniuma sana kumfukuza sosha kiukweli mimi nilikuwa nataka aendelee tu, lakini kwanini tumfukuze kocha mzuri kama yule?
Hapana! Hiyo picha admin kaitumia kutupa dongo kwa fans wa United kuwa tuishukuru Watford kumfukuzisha kazi Ole. Ndiyo maana alipost baada ya taarifa rasmi kutoka.Kwamba anajitangaza kwa man u kisa tetesi anatakiwa na man u mkuuu unafikili ulianza hata kabla yesu hajazaliwa
Tumbakize bhana ili tukikutana na chelsea tumfunge"It is with regret that we have reached this difficult decision," United said.
====
Ukisikia unafiki wa kizungu ndiyo huu. Ugumu wa maamuzi ulianzia wapi?

Ndiyo! Picha ilipigwa Sarr alivyoomba msamaha kwa kukosa penalty ila admin kaitumia baada ya Ole kutangazwa kufukuzwa.Hapana nadhani jamaa aliomba radhi kwa kitendo cha kukosa penati Mara 2
Sio fair kabisa kumfukuza mtu kazi wakati ajira zenyewe zimekuwa ngumu kiasi hiki.Finally,The babyface assassin amefutiliwa mbali.
Kma TT AU KLOP UPO SAHIHIPlan ni nzuri..tupate interim manager mpaka mwisho wa msimu then tutafute head coach wa kuanza msimu wa 2022/2023.
Sina imani na Zidane hata kidogo..Brendan Rogders ndo kabisa sitaki kumsikia bora hata ingekuwa Potter wa Brighton.
Tuongee na Erick Ten Haag..au tuende Bundesliga huko ndo kunakopatikana ma-tactical and philosophy masters wa futiboli.
Hahaa uko serious hapo nilipoweka wino mzito (bold)? Mwanaume anayeongozwa na mke wake hafai kuongoza kundi la wanaume mahala popote pale. Kuna siku mke wake atamwambia Cristiano Ronaldo asiwe anaanza kisa kagoma kusaini kitabu chake cha kumbukumbu.Huyo zidane naona kama tunambembeleza sana kulingana na sources akiwemo Fabrizio romano siku za nyuma...
Inaoneka mke anataka kubaki ufaransa, mara yeye anaaim kuwa coach wa france national team, mara bado anataka kuendelea na likizo yake
Kama hali hizi ni kweli tuachane nae mbona sio kocha mkali kihivo....
Kama Zidane itashindikana basi tutaenda na interim mpya
Laurent blanc
Rangnick
Wapo considered