Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,476
- 37,750
Leo kaaga mwenyewe.Tupi hapa mkuuu
Leo kaaga mwenyewe.Tupi hapa mkuuu
Ameshaaga.Hafukuzwi mkuuu nipo hapa
Bdo hawez ondokaAmeshaaga.
Waingereza wamekuwa inflated ila hawana kitu.Leicester city Mungu anawaona mnamuuziaje mtu beki wa dunia?
Upangaji mbovu wa timuSsa kma Van yupo matic alikuwa anafanya nn uwanjani
NyieeeMan atakushangaza kipindi cha kwanza huwa anauchapa lakini cha pili huzinduka usingizini
Wazungu huwa wanamaanisha, yeye mwenyewe anaipenda timu na anajua kwa heshima yake hawezi kufukuzwa kwahiyo kaona bora aachie ngazi aje mwengine mana falsafa zake zote zimefeli, anaumizwa na matokeo so lazma ajiondoe.Bdo hawez ondoka
Hakika..mwnyw leo nikasema lbd wataleta uhai...sema nimefurah sana wakipoteza hawa jamaa uwa naenjoy vilio vyai..sema OLE akifukuzwa izi raha tutakosa.Nikasema ngoja niwaamini leo hawa Man U kwenye Mkeka, Eeeeeh kinachotokea hapa ni upumbavu wangu tu ambao ulinifanya nikawa amini washenzi hawa
Sisi Chelsea "The Blues" tukiwa kama vinara wa ligi, kwa niaba ya timu zote tunawapa pole na tupo pamoja kwenye kipindi hiki kigumu mnachopitia.Disaster, humiliation and unacceptable
Sare?
Mkuu yule mzeee hawezi tena kazRonaldo pia kazingua sana leo.
Mbona beki poa tuKocha anayekuja inatakiwa aanze na huyu mpumbavu magwaya.
Kama ni hivyo angeshaondoka toka msimu uliopitaWazungu huwa wanamaanisha, yeye mwenyewe anaipenda timu na anajua kwa heshima yake hawezi kufukuzwa kwahiyo kaona bora aachie ngazi aje mwengine mana falsafa zake zote zimefeli, anaumizwa na matokeo so lazma ajiondoe.