Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780




Beki anakaba kwa bichwaaaaLeicester city Mungu anawaona mnamuuziaje mtu beki wa dunia?![]()
Watford wana claudio Raniel nyie muna ogsManchester United, Red Devils, Mashetani Wekundu, Wenye Ronaldo, Kweli Tunafungwa Goli 4 na Watford![]()
HahahahaKuna beki kazi yao ni Kumsindikiza Mfungaji
Tupi hapa mkuuuHafukuzwi mkuuu nipo hapa