Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
Kuna mshikaji nakumbuka mwezi wa tisa wakati nasema OLE hafai kitambo yeye anasema OLE ni best cocha, wakati huo man u walikuwa wamevunja record ya unbeaten away run.
it got to a point akaniambia, sijui mpira.
sikuhizi namcheki kimya kimya nachekaaaaaa
it got to a point akaniambia, sijui mpira.
sikuhizi namcheki kimya kimya nachekaaaaaa
haha mkuu najarb kuwafariji hawa ndg ze2 hawajui tu wao wakipoteza ni furaha sana kwe2..hawajui ni jinsi gn washbik wa team pinzan tunavomkubal OLE



