Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Bora tu man utd muende ueropa mapema ,....manaweza kubahatisha hata Europa 




Hayo mengine mnayosubili ni ndoto ....





Hayo mengine mnayosubili ni ndoto ....





Halafu kila mechi anasema atarekebisha makosa. Hii itakuwa kurekebisha hadi mwisho wa msimu sasa.Katika mechi tatu Ole hupata matokeo yote matatu win, draw loss.
What a manager!!!
Source: Manchester United tz

Kesho weka mamilion united anaenda kushinda game kiulain kabisa....kesho tu ki kufungwa na watford na ole akabaki kuwa kocha naamin mzee ferg anamkingia kifua asifukuzwe
Tunacheza na Villareal kabla ya kucheza na Chelsea i.e jumanne hii.Game ya Chelsea atadraw au kupoteza then game na villareal itategemea na matokeo ya chelsea.
Ole ni mpuuzi sana
Kesho tutashinda ila tukifungwa huenda Ole akafukuzwa, baada ya hapo Mechi itakayofuata tutadraw probably ya chelsea pia tutadraw maana chelsea siyo lethal sana kwenye attack.Tunacheza na Villareal kabla ya kucheza na Chelsea i.e jumanne hii.
Probably tunashinda kesho,tutadraw na Villareal and then Chelsea watatufunga this time.
Sema Bruno na Ronaldo watambeba tena kesho hata timu ikiwa na perfomance mbovu.Kesho tutashinda ila tukifungwa huenda Ole akafukuzwa, baada ya hapo Mechi itakayofuata tutadraw probably ya chelsea pia tutadraw maana chelsea siyo lethal sana kwenye attack.
Kesho atashinda ila kama atafungwa basi kazi yake itakuwa imefika mwishoSema Bruno na Ronaldo watambeba tena kesho hata timu ikiwa na perfomance mbovu.
Ila kama unavyosema ikitokea tukafungwa.,ebhana eee lazima aondoke.
Pesa ndefu sh ngapi?Board ipo kibiashara zaidi,,na sio kwa manufaa ya club.
Wanafikiria kukatisha mkataba wa ole,na kumlipa ni pesa ndefu.
Ole out.
Unamaanisha ni sawa umfukuze mke mwenye changamoto ya kushika mimba alafu umuoe Wema, sio!?Unaruka mavi unakanyaga mavi.
Mara 100 Ole abaki kama ni huyo Rodgers.
Unamaanisha ni sawa umfukuze mke mwenye changamoto ya kushika mimba alafu umuoe Wema, sio!?










Dah, unavyodadavua nadhani upo kwenye bodi ya klab!Naamini hivyo pia ....sema naona wanahangaika na succession plan .....wanawaza nani wampe timu pia wanavizia kupata kocha wa moja kwa moja na nafikiri kocha wanaemtaka yupo na timu
Ten hag. Poch na the others
Wewe umeeleza kitaalamu kwakweli, wengi wanaeleza kimihemuko. Binafsi nimekuelewaErik Ten Hag ni mzuri ila ufanisi wake upo nyuma ya Edwin Van Der Sar (Football Executive) na Marc Overmas (Director of football) ukimchukua pekee yake kwa mfumo wa timu yetu namuona akifeli vibaya sana ndani ya muda mfupi sana.
Huu ni wakati sahihi sana wa ile nafasi ya Ed kupewa mtu mwenye uzoefu wa kuendesha vilabu vyao soka as a football executive. Wasifanye kosa la kuleta kilaza kama Ed, niliwahi kuelezea impact ya kuwa na mtendaji mkuu mwenye kichwa kizuri.
Wamiliki wa Man City waliponunua timu wakamtafuta football executive toka Barcelona Ferran Sorriano kuwaendeshea timu. Mtu wa kwanza kuanza kumuajiri alikuwa ni football director kutoka Barcelona Aitor Txiki Birigistan moja kwa moja wakaanza kusuka upya scouting staffs globally na wengi wao walitoka Barcelona.
Ferran Sorriano aliwaambia mabosi wa City ndani ya miaka 5 ya uongozi wake atabeba makombe 5 na Club itapunguza 50% hasara inazotumia kujiendesha na kweli msimu wake wa kwanza alimuondoa Mancini akamleta Manuel Pellegrini kichwani walifahamu fika wanamtaka Pep Guardiola. Sisi tunakosa hii kitu watu wanaojua nini wanafanya. Ole anacheleweshwa kufukuzwa ni kwa sbb Ed na DoF wake hawana mtu kichwani kwako atayeendelezea project waliyoipanga muda mrefu.
Angalia takwimu za hawa football Executive wawili walioanza kazi pamoja ndani ya hii misimu 9, Ferran Sorriano vs Ed Woodward
Ferran Sorriano (Sept, 2012 - )
Premier League trophies: 4
FA: 1
EFL:4
Ed Woodward (July, 2013 - )
Premier League trophies: 0
FA: 1
EFL:1
UEFA Europa: 1
Poch yupo psg na ole yupo man uHivi Poch anatofauti gani na Ole mkuu?
Ni Zambezi (Riverside ) kabisa!OLD TRAFFORD pamageuzwa kuwa kama kimboka buguruni..This is unacceptable.
Ole has to go.
Sent using Jamii Forums mobile app