Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
Board ipo kibiashara zaidi,,na sio kwa manufaa ya club.
Wanafikiria kukatisha mkataba wa ole,na kumlipa ni pesa ndefu.

Ole out.
 
Kibiashara haijakaa sawa.Ila kimsingi Ole ametutoa point C kwenda point B na uwezo wake umeishia point B.
Tunahitaji mtu wa kutufikisha point A kabla kikosi hakijapasuka.
Ole ni kocha mwenye bahati tu,lakini hana uwezo wowote wa kiutendaji.
Kama van gaal alipata kombe la FA na alifukuzwa,,ole ambaye amepewa miaka 3 bila kikombe chochote kwa nn anabaki? Au man u lengo letu ni nafasi ya 2?
 
Breaking news machester united confirm sign coach KIGOGO from Twitter
IMG_20211117_195150.jpg
 
Back
Top Bottom