Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bado hajafukuzwa tu ...

Au mnasubili man city tuje tuwapige goli 8-0 ...

Kama Liverpool kawala kibogo ,sisi tunawageuza kifo cha mende - mbuzi kagoma kwenda ukuni unazamaaaaa ndani na kupiga golii halali 5-0....
Acha kumtisha Ole sisi majirani tuna uhakika anampiga City.
 
Kwa hii united naitamani kudadekiii

Nyie mbwa hamna uhakika wa point tatu kwa timu yeyote epl ....

Kwanza Spurs anaenda kuwapa kipigo kingine cha mbwa mwizi
 
I think UNITED DNA is WINNING SPIRIT na mbayo siioni sidhani kama DNA ya UNITED ni kununua wachezaji wa miaka 34/36 kitu ambacho makocha waliomtangulia walikifanya wakatukanwa kuna some players hawako comfotable na OGS but ni ngumu kuyasikia haya sababu OGS ni united legend na washkaji zake wake (Neville,Scholes,Rio) wana influence kubwa kwenye media kubwa za UK,i think leo umeanza kusikia baadhi ya issue kuhusu Bailly,Lingard,VDB

I agree issue ya financial kuhusu Inter but Wachina wakati wananunua timu waliwa-promise watatoa hela ya usajili mwanzoni na hawatauza key players (Hakimi,Lukaku,Lautaro,Barella) baada ya kuchukua ubingwa tu wakawageuka na kuamua kuwauza.Sidhani kama United ina tatizo la fedha kama kumbuka OGS ameshatumia Euro450+ na ukija kwenye wages huenda kiasi wanachotumia United kinaweza kuwa hata mara 3 ukicompare na Inter
Mwanzo ilionekana kama walimuuza Lukaku ila baadae source zote za uhakika ziliconfirm ni Lukaku ndio Ameforce Chelsea Move.

Kuhusu Kununua Wachezaji unaweza Thibitisha Ole ndio Ameomba usajili wa hao wazee? (Ronaldo na Cavani) unaweza ukaweka bias ya hao wachezaji wawili ila Majority ya wachezaji aliosajili Ole ni watoto ama ambao hawaja Peak, Wan Bissaka, Sancho, pellistri, Diallo, James etc

Pia wengine wamekuja si watoto sana ila hawajapeak Nao kina Bruno, Maguire, Telles, etc.
 
hana impact yoyote.....mbona alisafiri na timu kwenye fainal ya Europa na bado tukafungwa..........ngojea tukutane na spurs wajue hawajui

Spurs nao ni waelewa.. watafanya linalopaswa kuhakikisha Ole anabaki ili miamba ijayo iendelee kufaidika
 
Nimegundua haya mazee ya united ndio yanaharibu team.
Sasa Fergie naye kaingia mkumbo wa kusupport ole
 
hana impact yoyote.....mbona alisafiri na timu kwenye fainal ya Europa na bado tukafungwa..........ngojea tukutane na spurs wajue hawajui
inavyosemekana fergie, woodward na richard arnold ndio wamekuwa mstari wa mbele kuitetea nafasi ya Ole, si ajabu yeye na mwenyekiti wa zamani wa klabu bwana michael edwards wameamua kuhudhuria mazoezi pengine kwa kuzungumza na wachezaji na benchi la ufundi (kwenye mazungumzo sina uhakika).

bila ya shaka wanachokhofia wao huenda kocha ajaye akaharibu structure nzima ya ujengwaji wa taasisi ya manchester united kazi ambayo imefanywa na Ole kwa kiwango fulani kinachoridhisha (tumewezekeza vizuri mpaka kwenye scouting chini yake)

Ole akiwa serious hata wachezaji watarudisha tena morali ya kiuchezaji (wao bado wanaamini wiki mbili zijazo zinaweza kugeuza sura nzima ya klabu kimatokeo na kiuchezaji).

waswahili wanasema bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi.
Ole kabahatika, kazi kwake
D4SvpyWXoAAdbpu.jpg

hii picha si ya leo : (ed woodward, david gill, ferguson na richard arnold)
 
inavyosemekana fergie, woodward na richard arnold ndio wamekuwa mstari wa mbele kuitetea nafasi ya Ole, si ajabu yeye na mwenyekiti wa zamani wa klabu bwana michael edwards wameamua kuhudhuria mazoezi pengine kwa kuzungumza na wachezaji na benchi la ufundi (kwenye mazungumzo sina uhakika).

bila ya shaka wanachokhofia wao huenda kocha ajaye akaharibu structure nzima ya ujengwaji wa taasisi ya manchester united kazi ambayo imefanywa na Ole kwa kiwango fulani kinachoridhisha (tumewezekeza vizuri mpaka kwenye scouting chini yake)

Ole akiwa serious hata wachezaji watarudisha tena morali ya kiuchezaji (wao bado wanaamini wiki mbili zijazo zinaweza kugeuza sura nzima ya klabu kimatokeo na kiuchezaji).

waswahili wanasema bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi.
Ole kabahatika, kazi kwake
D4SvpyWXoAAdbpu.jpg

hii picha si ya leo : (ed woodward, david gill, ferguson na richard arnold)
Mkuu hamna kitu kitatokea
 
Mkuu hamna kitu kitatokea
akileta ubishi wa kijinga ataendelea kuadhibiwa,
  • ampe nafasi donny kama anavyofanya kwa wachezaji wengineo mfano scott mctominay
  • wakati huu ambao luke shaw na maguire wanacheza ovyo ajaribu kuwaangalia na wengineo mfano bailly na telles
  • mawazo ya double pivot ya mcFred ayaondoe kichwani mwake
  • afanye mapinduzi ya kimbinu
 
#MICHEZO Tetesi zinaeleza kuwa Ole Gunner Solskjear anatarajiwa kuendelea kuifundisha klabu ya Manchester United licha ya kipigo walichokipokea kutoka kwa Liverpool.

Licha ya tetesi za kutimuliwa kwake huku Antonio Conte akihusishwa, imedaiwa kuwa uongozi unatarajia kujikita zaidi katika kuboresha hali iliyopo kuliko kumtimua kocha huyo.
 
Back
Top Bottom