Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FRIGIE.
IMG_20211027_091217.jpg
 
Nahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.
Kuleni glucose mwendo mdundo hakuna kuachana na team songeni mbele kwa mbele
 
Sifa moja kubwa ya Mashabiki wa Manchester United ni kuwa na mdomo mkubwa.
 
Sio kila anaeongea barabarani peke yake ni kichaa wengine ni mashabiki wa Manchester United
 
Nahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.
Pumzika kwa amani mkuu!
 
Mashabiki wa Manchester United mmekuwa wapole kama wadaiwa sugu wa Bodi ya mikono ambao hamna ajira.
 
Pogba kupinga habari za uongo, Ronaldo kum-support ex-teammate wake, Sir. Fergie kutokea mazoezini jumlisha na ushindi wa jumamosi dhidi ya Spurs kutamuweka Solskjaer kwenye nafasi nzuri kwa mara nyingine tena.
 
akileta ubishi wa kijinga ataendelea kuadhibiwa,
  • ampe nafasi donny kama anavyofanya kwa wachezaji wengineo mfano scott mctominay
  • wakati huu ambao luke shaw na maguire wanacheza ovyo ajaribu kuwaangalia na wengineo mfano bailly na telles
  • mawazo ya double pivot ya mcFred ayaondoe kichwani mwake
  • afanye mapinduzi ya kimbinu
Ole aondoke tu. Hatuhitaji tena kocha wa aina yake.

He's terrible in team selection and game management.

Tactically he's empty set.
 
DAH!...Mtaalam wa Commentary BWANA #PETERDRURY Mkongwe wa #BIGMATCH kama zile....aliwashusha vyeo sana na huyo manager wenu uchwara Mr. OLE.

FCfWBwFWQAQtLf8.jpg


kuna moja alisema "KLOPP is Furios over the Devils....I see them have no where to go in their own pitch"
 
Back
Top Bottom