Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Man u inaharibiwa na watu kma hao ovahana impact yoyote.....mbona alisafiri na timu kwenye fainal ya Europa na bado tukafungwa..........ngojea tukutane na spurs wajue hawajui
Man u inaharibiwa na watu kma hao ovahana impact yoyote.....mbona alisafiri na timu kwenye fainal ya Europa na bado tukafungwa..........ngojea tukutane na spurs wajue hawajui
Hana huo uwezo bana yule jamaa mbinu pia hana, ngoja tuone kama atabadilika na ujinga wake ila siamini mtu amekaa miaka 4 sasa tunacheza hovyo atabadili hili kwa wiki 2 okay ngoja tuone.akileta ubishi wa kijinga ataendelea kuadhibiwa,
- ampe nafasi donny kama anavyofanya kwa wachezaji wengineo mfano scott mctominay
- wakati huu ambao luke shaw na maguire wanacheza ovyo ajaribu kuwaangalia na wengineo mfano bailly na telles
- mawazo ya double pivot ya mcFred ayaondoe kichwani mwake
- afanye mapinduzi ya kimbinu
Nahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.As an honest Man Utd fan, I'm disgusted by your comment. In my fifty years as a loyal Man U fan, I've never seen a coach tactically better than Ole and I think he's the best coach we've ever had. Back him and trust the process. We can do this. We are United!
Hawako kwenye ligi yenye ushindani hivyo even an average team inaweza kufanya vizuri kwao.Aisee hii timu hii,team rebuild imekuwa ni kazi Sana kwetu,kujenga timu ni kazi sanaaa huwa ndo Mana kila siku nawapongeza Sana Bayern Munich wale jamaa wanajua wanachokifanya Tena ni kwa miaka mingi Sana...
Mkuu haya mambo ya kususia timu tushafanya sana lakini hayafanyi kazi.Nahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.
Shetani mwekundu unataka kwenda wapi SasaNahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.





Wachezaji wakikukataa utachezea vipigo kila leo we ona juzi tumefungwa magoli mepesi mno.....#MICHEZO Tetesi zinaeleza kuwa Ole Gunner Solskjear anatarajiwa kuendelea kuifundisha klabu ya Manchester United licha ya kipigo walichokipokea kutoka kwa Liverpool.
Licha ya tetesi za kutimuliwa kwake huku Antonio Conte akihusishwa, imedaiwa kuwa uongozi unatarajia kujikita zaidi katika kuboresha hali iliyopo kuliko kumtimua kocha huyo.
Nahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.
Hakuna kususa mdau mwendo ni huuhuu tuNahisi huyu jamaa atakuwa na siri nyingi za uongozi, anyways nilirudi nikidhani kocha atafukuzwa but now nimerudi kwenye msimamo wng wa kuachana na hii timu mpk aondoke huyu mmasai, ze-dudu utajichosha tu mkuu.
Bodi ya timu imesema hakuna timu ambayo haifungwi duniani na kikao kiliishia hapo hafukuzwi mtu.Shetani mwekundu unataka kwenda wapi Sasa![]()
mambo yanaanziaga kuharibikia hapa kwenye blood na DNAIf #mufc do sack Solskjær, the Glazers are keen to bring in a manager for the long term who shares the club’s traditions of blooding youngsters and playing attacking football [Times]
manutd |
#GGMU![]()
Shaw !! How ame drop?Wan-Bissaka has become a source of concern. There are also concerns over Maguire and Shaw who have seen a dramatic drop in form