Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kila mtu anasema hivyo
Screenshot_20211025_152236.jpg
Screenshot_20211025_152316.jpg
 
Mimi naona Eric Ten Hag ni modern coach anayecheza kwa ujasiri sana kuliko Conte na Zidane
Mimi binafsi Zidane simkubali, ila makocha wa Kidachi pia siwaamini sana especially anayetoka Ajax au PSV na awe hajawahi kufundisha vilabu vingine kwa mafanikio ( hizi timu zinabebwa na ukubwa wa timu zao, ni kama scenario ya Bayern na PSG)

Kwa makocha chipukizi namkubali Graham Porter wa Brighton na yule wa Southampton. Kwa wazoefu Luis Enrique na Conte
 
hatuna succession plan ndio maana klabu bado inamuona Ole ni mtu sahihi.
si conte wala zidane atakayeridhia mwenendo wa uwendeshwaji wa klabu kama afanyavyo Ole,
kama bodi itamuhitaji yes man nafikiri graham potter anaweza kuwa chaguo sahihi kwao.
au hata steve bruce
😀😀😀😀
Tetesi za Potter zipo zamani tu, zidane kwa kikosi chetu inamake sense zaidi sababu tuna wachezaji wake wengi ila Nasikia hata Kingereza Hajui kuongea. Conte ni Conte unless tunabadilika Toka juu na kumpa Support 100% kuna possibility kubwa ikawa Mourinho part 2.

Anyway tuwape nafasi Kina Fletcher na Murtough pengine wanajua mengi tusiyoyajua.
 
Tetesi za Potter zipo zamani tu, zidane kwa kikosi chetu inamake sense zaidi sababu tuna wachezaji wake wengi ila Nasikia hata Kingereza Hajui kuongea. Conte ni Conte unless tunabadilika Toka juu na kumpa Support 100% kuna possibility kubwa ikawa Mourinho part 2.

Anyway tuwape nafasi Kina Fletcher na Murtough pengine wanajua mengi tusiyoyajua.
Aisee hivi Sokoni sasa hivi hakuna proper candidate wa kufundisha United?
 
Aisee hivi Sokoni sasa hivi hakuna proper candidate wa kufundisha United?
Aisee hivi Sokoni sasa hivi hakuna proper candidate wa kufundisha United?
Ndo mtihani wa kwanza wa Murtough tuone na yeye uwezo wake, yeye kama Dof anatakiwa sasa hivi awe na shortlist tayari na succession plan nzuri kutokana na wachezaji wetu.
 
Belo my braza, nakusalimu mkuu. Pole najua ni kwa kiasi gani unaumia na hii club iliyopewa malegendar ambao hawajui soka la mbinu zaidi ya lile walilocheza kipindi chao.
Kwa taarifa yako tu braza, sosha hatakiwi pale OT, lakini ni nani atakuwa mbadala wake? Coach wa viwango vya juu wa kufundisha club kubwa kama united ni nani?
Menegement yote na body pia wanashindwa kujua nani wampe huu mzigo ausogeze. Conte! Hawezi kukubali kuchukua timu kwenye mazingira yaliyopo sasa.
Nani kwa mtazamo wako anaweza kupokea hii timu toka kwa ole?
Poleni sana.
United walikosea kumpa OGS permanent contract kile kipindi akiwa interim manager kilimtosha Manchester United ni kubwa sana kwake na uwezo wake ni mdogo sana .Alipewa nafasi nzuri sana kutengeneza profile yake kwenye career yake ya ukocha lakini imemshinda

Makocha wa kufundisha United wako na wachezaji wa kucheza United pia wapo.

United inatakiwa kubadilisha structure ya uendeshaji kufanya maamuzi kwa kuzingatia perfomance ya uwanjani na sio kuangalia kwenye upande wa biashara peke yake,haiwezekani Bayern,Ajax,Chelsea,Juventus,City,Liverpool wapate makocha wazuri lakini United ndio wasipate
 
Ndo mtihani wa kwanza wa Murtough tuone na yeye uwezo wake, yeye kama Dof anatakiwa sasa hivi awe na shortlist tayari na succession plan nzuri kutokana na wachezaji wetu.
Ukiangalia makocha wakubwa wenye profiles kubwa ni Conte na Zidane ndiyo hawana kazi lakini ni kama hawaaminiki hivi kwa Manchester United.

Nje ya hao huoni profile ya kuweza kupambana na pressure iliyopo United.

Ole kudumu United kwa misimu mitatu ni kutokana na kutoshambuliwa sana na legends wenzake wamemlinda sana ila imefikia hatua hawana sababu za kumtetea tena.
 
Back
Top Bottom