marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,092
- 1,916
Wampe hata lifetime contract wakitaka jambo zuri nikwamaba wamesha tengeneza gazi mioyoni mwetuNasikia kocha kapewa mechi3 sijui taharifa inaukweli hii
Wampe hata lifetime contract wakitaka jambo zuri nikwamaba wamesha tengeneza gazi mioyoni mwetuNasikia kocha kapewa mechi3 sijui taharifa inaukweli hii
amepewa kandarasi ya miaka mitatu mwanzoni mwa msimu huu, kabla ya hapo kumbuka huu ndio ulikuwa msimu wake wa mwisho kuitumikia klabu kwa mujibu wa mkataba wake wa mwanzoni (nafikiri alipewa mkataba wa miaka mitatu na nusu).Huyu jamaa naomba kuuliza anaung'ang'ania nini ukocha/umeneja,
Kati ya hizo 3 atashinda zote pimbi yuleNasikia kocha kapewa mechi3 sijui taharifa inaukweli hii
Mechi tatu tena duuuhNasikia kocha kapewa mechi3 sijui taharifa inaukweli hii
Germany ndiyo haiwezekani kabisa hana uwezo wa kuaminiwa na wajerumaniamepewa kandarasi ya miaka mitatu mwanzoni mwa msimu huu, kabla ya hapo kumbuka huu ndio ulikuwa msimu wake wa mwisho kuitumikia klabu kwa mujibu wa mkataba wake wa mwanzoni (nafikiri alipewa mkataba wa miaka mitatu na nusu).
sina uelewa mkubwa sana wa masuala ya mikataba ila akili yangu inanilazimisha niamini ya kwamba endapo Ole ataamua kung'atuka mwenyewe bila ya shinikizo la klabu hatoambulia chochote (fidia ya mkataba wake).
tukiachana na maswala ya mkataba ni ukweli uliodhahiri ndani ya manchester united alikuwa na muda mzuri sana wa kujijenga professional kwenye career yake ya ufundishaji kifalsafa na vision kuliko huko alikotokea (molde, cardiff), yupo kwenye timu inayompa kila kitu anachokihitaji kuanzia bajeti ya usajili, miundombinu bora ya ufundisha na still ameshindwa kudeliver matokeo bora na soka bora ndani ya uwanja licha ya uzoefu aliokuwa nao.
kwa sasa ana miaka 48 na bado hajajijengea heshima inayostahili itakayozifanya timu nyenginezo washawishike kuhitaji huduma yake pindi atakapoondoka united, kwa tafsiri ya haraka kama atashindwa man utd huenda itakuwa ndio mwisho wa career yake ya ukufunzi, ni nani atakayemuhitaji pale pale ulaya kuu(german,england, france, spain).
Germany ndiyo haiwezekani kabisa hana uwezo wa kuaminiwa na wajerumani
hatuna succession plan ndio maana klabu bado inamuona Ole ni mtu sahihi.Kwa tulipofika mi pia nimenyoosha mikono mkuu, I hope tu kuna succession plan na sio kukurupuka.
bado bruno fernandez ameendelea kuwa mwanadiplomasia mashuhuriHadi sasa tumepata kauli 2 toka kwa DDG na PP ambazo zinamtuhumu OLE indirectly.
Who is next?
nauhesabu kuwa ndio usajili wake bora zaidi ulioleta mageuzi makubwa ndani ya klabu kuliko hao wengineo.Hapo kwa bruno mbona umeweka red mkuu.?
mwenyewe anasema anakaribia kuifikia nchi ya ahadi,A poorly coached team





Hahaha jana tulifungwa kwa aibu sana.mwenyewe anasema anakaribia kuifikia nchi ya ahadi,
jana alitaka kutuonyesha pressing yake.
siku ya Ijumaa alisema hatutawapa nafasi liverpool kama ilivyokuwa kwa atalanta
Mimi naona Eric Ten Hag ni modern coach anayecheza kwa ujasiri sana kuliko Conte na Zidanehatuna succession plan ndio maana klabu bado inamuona Ole ni mtu sahihi.
si conte wala zidane atakayeridhia mwenendo wa uwendeshwaji wa klabu kama afanyavyo Ole,
kama bodi itamuhitaji yes man nafikiri graham potter anaweza kuwa chaguo sahihi kwao.
au hata steve bruce
😀😀😀😀
Salam tumezipokeaNawasalimu kwa jina la kaputeni MANGWA,msifukuze kocha sasa ivi mapema sana ,gemu yenu na chelsea ikiisha fukuzeni ,msiwe wachoyo mmegawa kwa Leceister ,liverpool ,mtugawie chelsea kisha fanyeni mtakavyo ona ,vijana wa kaputeni MAGWA na OLETUKURU