Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
 
Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
Ninachoona sio kwamba board inaona kitu cha kipekee kwa Ole ila wanajisafisha mbele ya Mashabiki ili mashabiki tuone jinsi legends wetu wasivyotutakia mema
 
Ronaldo na Maguire kwenye mechi ya Leceister ndiyo waliotucost.

Ronaldo alikuwa hafanyi pressing na alipoanza kufanya pressing ni kama akafungua passing lanes za uwanja mzima Leceister wakawatawala Pogba na Matic.

Maguire hakuwa na game fitness so ni kama tulikuwa pungufu uwanjani alifanya two individual errors tukafungwa goli la kwanza na goli la nne.
Errors hazina uhusiano na game fitness aise,Maguire bado sana.
 
Ninachoona sio kwamba board inaona kitu cha kipekee kwa Ole ila wanajisafisha mbele ya Mashabiki ili mashabiki tuone jinsi legends wetu wasivyotutakia mema
Kibiashara haijakaa sawa.Ila kimsingi Ole ametutoa point C kwenda point B na uwezo wake umeishia point B.
Tunahitaji mtu wa kutufikisha point A kabla kikosi hakijapasuka.
 
Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
Hamna uwezo wa kuchukua point 3 mbele ya Liverpool Wala city ...

Kwa uchezaji upi mlionao ,yaan dakika 90 mchukue point 3 mbele ya Liverpool na city aiseee.....


Ushindi wenu itakuwa draw ,na huo ni ushindi mkubwa Sana .....
 
jaribu kuangalia kwa umakini hizi picha, angalia off the ball setup yetu
FB_8QEIXEAQD6Or
Kwanguu Mimi Man UTD hii Ndo shidaa.Yani hawajui kukabaa.Kama wanafata Mpira ivi
 
Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
Kwa Liverpool ata draw Kwa man city anawin
 
Hamna uwezo wa kuchukua point 3 mbele ya Liverpool Wala city ...

Kwa uchezaji upi mlionao ,yaan dakika 90 mchukue point 3 mbele ya Liverpool na city aiseee.....


Ushindi wenu itakuwa draw ,na huo ni ushindi mkubwa Sana .....
Haweziii kufungwa zotee. Kama kushinda Ingekuwa ni kikosi basi psg,Los Blancos wasingekuwa Wana poteteza mbele ya kikosi wanacho fungwa
 
Errors hazina uhusiano na game fitness aise,Maguire bado sana.
Anayesema yale makosa ya Maguire ni kwa sababu ya game fitness sijui anawaza nini.. lile goal la kusawazisha, hvi kweli unamuona adui yako yupo kilometa kadhaa karibu yako, Vardy kashamblock De Gea kurudishiwa mpira we umesimama unasubiri mpira ukufikie, hata madogo kina Kennedy Juma na Dickson Job hawafanyi vile mara mia wakaubutua mbele potelea pote
 
Ronaldo na Maguire kwenye mechi ya Leceister ndiyo waliotucost.

Ronaldo alikuwa hafanyi pressing na alipoanza kufanya pressing ni kama akafungua passing lanes za uwanja mzima Leceister wakawatawala Pogba na Matic.

Maguire hakuwa na game fitness so ni kama tulikuwa pungufu uwanjani alifanya two individual errors tukafungwa goli la kwanza na goli la nne.
Yale sio makosa ya game fitness, yale makosa ya kitoto sana kaka.
 
Anayesema yale makosa ya Maguire ni kwa sababu ya game fitness sijui anawaza nini.. lile goal la kusawazisha, hvi kweli unamuona adui yako yupo kilometa kadhaa karibu yako, Vardy kashamblock De Gea kurudishiwa mpira we umesimama unasubiri mpira ukufikie, hata madogo kina Kennedy Juma na Dickson Job hawafanyi vile mara mia wakaubutua mbele potelea pote
Kwa kile kituko cha jamaa kusubiri mpira aibu niliona mimi aise alafu eti ni captain.
 
Kwa Liverpool ata draw Kwa man city anawin
Naona mnajipangia matokeo mapema .....

Ole anadraw kwa Liverpool ,Mimi siwezi kubisha coz uwanjani ni wanaume 11 against wanaume 11 ,but united ya Sasa haina muunganiko wa kuweza kufunga na kumantain win kwa timu Kama city au Liverpool .....

Sisi man city tunawagonga goli 5 na ole atafukuzwa kazi siku hiyo hiyoo maana takauwa ametoka kula kipigo kwa Spurs .......

Muda hio mtakuwa nafasi ya 10 kwenye PL table

Keep watching
 
Naona mnajipangia matokeo mapema .....

Ole anadraw kwa Liverpool ,Mimi siwezi kubisha coz uwanjani ni wanaume 11 against wanaume 11 ,but united ya Sasa haina muunganiko wa kuweza kufunga na kumantain win kwa timu Kama city au Liverpool .....

Sisi man city tunawagonga goli 5 na ole atafukuzwa kazi siku hiyo hiyoo maana takauwa ametoka kula kipigo kwa Spurs .......

Muda hio mtakuwa nafasi ya 10 kwenye PL table

Keep watching
Utawauwa aiseee...waonee huruma kidogo, please.
 
Ronaldo na Maguire kwenye mechi ya Leceister ndiyo waliotucost.

Ronaldo alikuwa hafanyi pressing na alipoanza kufanya pressing ni kama akafungua passing lanes za uwanja mzima Leceister wakawatawala Pogba na Matic.

Maguire hakuwa na game fitness so ni kama tulikuwa pungufu uwanjani alifanya two individual errors tukafungwa goli la kwanza na goli la nne.
Unamsajili mchezaji wa miaka 36 unategemea akusaidie kufanya pressing ?? Mchezaji mwenyewe ni CR7
Timu nzimu inacheza kama wachezaji wamekutana mara ya kwanza hawajawahi ku-train pamoja mpaka leo tuna matatizo kwenye idara zote defence,midfield na striker

Uwezo wa OGS kufundisha ni mdogo sana na hilo halijaanza kuonekana jana ni almost miaka 4 now anafundisha timu na siku zote tunasema tunatukanwa hapa na most players aliowanunua amwshindwa kuwatumia .I think only Bruno na Cavani ndio wamefanya vizuri so far (Bissaka,Maguire,James,Ighalo ) hawajaleta positive impact Telles,VDB nao ameshindwa kuwatumia kabisa
 
Naona mnajipangia matokeo mapema .....

Ole anadraw kwa Liverpool ,Mimi siwezi kubisha coz uwanjani ni wanaume 11 against wanaume 11 ,but united ya Sasa haina muunganiko wa kuweza kufunga na kumantain win kwa timu Kama city au Liverpool .....

Sisi man city tunawagonga goli 5 na ole atafukuzwa kazi siku hiyo hiyoo maana takauwa ametoka kula kipigo kwa Spurs .......

Muda hio mtakuwa nafasi ya 10 kwenye PL table

Keep watching
Hayo unayo yasema ni matamanio kuwa yawe hivyo.Lakini nakwambia hayatakuwa ivyo Kama unavyo tamani.
 
Back
Top Bottom