fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Board ya united bado inamsapoti Ole ila imemtaka aboreshe kiwango cha ucbezaji pamoja na matokeo mazuri.
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!
My take.
Ikitokea Ole akashinda mechi za Liverpool na man city basi tunaye sana tu.
Sijui hawa jamaa wanaona nini ndani ya Ole ambacho sisi tumeshindwa kukiona ndani ya miaka 3 ya Ole!


