Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unamsajili mchezaji wa miaka 36 unategemea akusaidie kufanya pressing ?? Mchezaji mwenyewe ni CR7
Timu nzimu inacheza kama wachezaji wamekutana mara ya kwanza hawajawahi ku-train pamoja mpaka leo tuna matatizo kwenye idara zote defence,midfield na striker

Uwezo wa OGS kufundisha ni mdogo sana na hilo halijaanza kuonekana jana ni almost miaka 4 now anafundisha timu na siku zote tunasema tunatukanwa hapa na most players aliowanunua amwshindwa kuwatumia .I think only Bruno na Cavani ndio wamefanya vizuri so far (Bissaka,Maguire,James,Ighalo ) hawajaleta positive impact Telles,VDB nao ameshindwa kuwatumia kabisa
Akifunga linakua goli au sio goli
 
Solskjær: "I've got my values as long as [the] club believes in me. Jamie Carragher's opinion is not going to change that." #mulive

Ole needs to be humbled.
 
Nisamehe mimi kwa niaba ya waliokutukana humu

IMG-20211019-WA0055.jpg
 
Hamna uwezo wa kuchukua point 3 mbele ya Liverpool Wala city ...

Kwa uchezaji upi mlionao ,yaan dakika 90 mchukue point 3 mbele ya Liverpool na city aiseee.....


Ushindi wenu itakuwa draw ,na huo ni ushindi mkubwa Sana .....
Nyie Man Shityee ni matakataka tu hamuna timu mule.
 
Solskjær: "I've got my values as long as [the] club believes in me. Jamie Carragher's opinion is not going to change that." #mulive

Ole needs to be humbled.
Kila akitingishwa na kuambiwa ukweli , huwa anakimbilia kusema Club inamuamini.

Mimi naamini game na City ndio itafunga safari yake na United kwasababu baada ya hapo kuna games chache kabla hatujaenda International break.
 
Mi naona tuwe na imani na kocha wetu, na tumpe mda. Ole no bonge la kocha
 
Back
Top Bottom