Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa mdomo anaoupiga Garry pamoja na wenzake wa class of 92 nadhani kwa kiasi kikubwa wana influence maamuzi ya board kuhusu Ole. Board inaamini hawa legends ndio sauti ya mashabiki wa man utd.
Wamekazana kupindisha maneno ilimradi hawatamki neno Ole kwenye ukosoaji wao.
 
Timu kocha bhn asikuambie mtu, mifano hai ipo mingi, hata hapa bongo tazama Yanga ya Kaze na ile ya yule mzungu ni tofauti kabisa japo wachezaji walikuwa wale wale.
Na si umeona Kaze amerudi kuwa msaidizi?..angekuwa anajua asingerudi yanga kuwa msaidizi.

Timu inabidi iwe na kocha anayejua na sio msogeza siku tu kama Ole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu sisi ma die hard fans wa Olesendeka na manure kwa ujumla weekend hii tuna jambo letu na wale kuku aina ya broiler wale wanajiita liverkuku sijui livapulu..

Sasa Yale makuku yanatamba sana itabidi tufanye jambo tuwachinje na chupa hawa kuku ili wajue sisi Mashetani Wekundu ni mashetani kweli.
Tuko pamoja wanangu manure. Hii week tutashikana mikono ikiwezekana hata na miguu tuhakikishe huyu kuku achomoki mikononi mwetu.

Tumpe muda Kocha wetu Ole..
Ni giniyazi yule kocha
#inOleWeTrust.
..
 
Ajax 4 - 3 - 3 yao ipo vizuri sana Eric ten hag nimeona kwanini baadhi ya mashabiki wa manchester united wanamtaja sana...... Yupo vizuri sana je yupo tayari kwa kazi ya kuifunza timu yetu, Sina hakika na siwezi mhukumu ila ni kocha mzuri sana....
 
Ajax 4 - 3 - 3 yao ipo vizuri sana Eric ten hag nimeona kwanini baadhi ya mashabiki wa manchester united wanamtaja sana...... Yupo vizuri sana je yupo tayari kwa kazi ya kuifunza timu yetu, Sina hakika na siwezi mhukumu ila ni kocha mzuri sana....
Team yenu imejaa wachezaji wavivu kweli kweli wazuri wàkiwa na mpira
 
Another day to be frustrated with United Perfomance.

Sina hamu hata ya kuangalia mechi.
 
Back
Top Bottom