Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijasema atafanya vizuri mwishoni.Ila UkwEli ndo huo.kufanya vibayaa mwanzooni ni vizuri zaidi kuliko kufanya kufanya vizuri mwanzoni na kuishia kuanguka.Maana yangu ni kwamba Kwa sababu Timu inafanya vibayaa Kwa Sasa na ukiangalia imefanya usajiri mkubwa msimu huu,Kocha ana presha na hiyo presha ndo itafanya kujiuliza shida ni Nini ya kufanya vibayaa,Means Yale makosa anayo hisi ndo chanzo Cha kufanya vibayaa atayashughulikia na mambo yataenda Sawa.
Kama ole ataendelea kuwepo ,hakuna mabadiliko yatakayofanyika na unategemea kufanya vzuri mbeleni ,mkuu niseme tu hujielewi na akili hauna ,may be unaangalia mpira live score ,United ya Sasa haina uhakika hata wa kumfunga Brighton niamini Mimi ... ...


Muda umeshasema kuwa ole ni kirusi ,lakini hicho kirusi bado kipo ,then bado unategemea miujiza ...


Mkuu bado unaamini ole ana uwezo kweli wa kushindana na klopp ,TT na pep kuchukua epl ????


Au unaimani gani hio mzee,ole sio kocha ,na huu msimu hatachukua kombe lolote ,atapigania kubaki top 4 na ndio itakuwa mafanikio yake .....
 
Kama ole ataendelea kuwepo ,hakuna mabadiliko yatakayofanyika na unategemea kufanya vzuri mbeleni ,mkuu niseme tu hujielewi na akili hauna ,may be unaangalia mpira live score ,United ya Sasa haina uhakika hata wa kumfunga Brighton niamini Mimi ... ...


Muda umeshasema kuwa ole ni kirusi ,lakini hicho kirusi bado kipo ,then bado unategemea miujiza ...


Mkuu bado unaamini ole ana uwezo kweli wa kushindana na klopp ,TT na pep kuchukua epl ????


Au unaimani gani hio mzee,ole sio kocha ,na huu msimu hatachukua kombe lolote ,atapigania kubaki top 4 na ndio itakuwa mafanikio yake .....
Asante,
 
Manchester utd ingekuwa inakaba kama Brighton,Ingekuwa mbali.Tatizo wanakaba Kwa kukimbia golini kwao na si kukaba Ili kupunguza mashambulizi kwenye goli lao,Yani wanakaba mtuu Ili atoe pasi na Siyo Kwa lengo la kupokonya mpira kutoka Kwa adui.Ndo maana unakuta Timu inacheza vizuri ikiwa na mpira ikinyanganywa TU inashambuliwa mpaka golini hapo ndo Kona zinatengenezwa na mabeki wa utd,faulo na penati.Kitu ambacho ni danger Kwa Timu kuruhusu mashambulizi
Hata Brighton wanatumia 3-4- kwenye build up play, leicester walitumia 3-2- vs united. Mikel & Ole's system 4-2-3-1 inaonekana kwa sasa haijaAdapt against team zinazobuild up na back 3
 
Kipindi tunaperforn vibaya chini ya Mou....Gary neville na kikundi chake utawasikia

"There is too much quality there, its just the system of playing is not owky, the coach is not suitable for this team"

Haya Kikosi kile amepewa Ole na kuongezewa wachezaji kibao wazuri na wagharama, leo hii Gary anasema

"there is unbalance in the team when you look at Greenwood, Rashford, Sancho, Bruno, pogva and ronaldo"

Hasemi tena kocha sio mzuri.....hiyo ubalance ni kwasababu tunacheza mpira mgumu unaotegemea individual brilliance kuliko kucheza kitimu.....

hawa legends wa hii timu wakae mbali na timu wanachangia sana mwenendo mbovu wa hii timu......Naamini bila makelele ya Legends Ole asingepewa ule mkataba ila walipiga makelele akapewa.....
Neville yupo correct, imbalance and tactical issues inatokana na kuwa na two free players on the pitch, press haiwezi kuwa well structured, kama timu ina matatizo kwenye transition na haiwezi kukeep the ball lazima uumizwe tu kama Leicester walivyowafanya juzi

Ole lazima aadapt roho ya paka kusave kibarua, Ronaldo/pogba mmoja akae nje.
 
Neville yupo correct, imbalance and tactical issues inatokana na kuwa na two free players on the pitch, press haiwezi kuwa well structured, kama timu ina matatizo kwenye transition na haiwezi kukeep the ball lazima uumizwe tu kama Leicester walivyowafanya juzi

Ole lazima aadapt roho ya paka kusave kibarua, Ronaldo/pogba mmoja akae nje.
Mbna walikaa bench mechi ya everton na baada ya hapo wakasema you need to start your best players
Yaan hapo hao wapumbavu wanajiita legends wafe tu na mwenzao sendeka
 
Shida ya Manchester United ni wamiliki pamoja na uongozi mzima. Ole kama muajiriwa mwingine yoyote alipewa kazi ya kuisaidia timu kubeba mataji ila uwezo wake ndiyo umeishia hapo. Ole anatimiza majukumu yake ya kazi waliomuajiri ndiyo wana matatizo kuona mtu waliyempa kazi bado anafaa kuifanya hiyo kazi.

Hata Ole akifukuzwa bado shida ya United itabaki palepale, akija kocha mwingine akishindwa kuifikisha timu mahali bado tatizo litakuwa lilelile la kunga'ang'ania watu ambao sio sahihi.

Uwezo wa Ole ni mdogo ila yeye ndiyo ametutoa point C kwenda B ila kwa sasa tunahitaji sana mtu wa kututoa point B kwenda A. Kwa kikosi tulichonacho siyo timu ya kushindwa kushinda mechi kama ya Leicester ambao walianza ligi vibaya, haiwezekani kila timu tukikutana nayo inaoneka inacheza vizuri, haiwezekani kila mchezaji tunayemsajili akija kwetu ni average player.

Shida ya hii timu inaanzia juu, kuna shida mahali. Masuala ya kupeana kazi kwa u-legend ndiyo yanatu-cost. Pia kuwa wazuri sana kwa wachezaji kunatufanya tuwe timu dhaifu sana. Mifano hai ipo: Real Madrid ni klabu yenye mafanikio kwasababu mchezaji akishindwa kufanya vizuri anaonyeshwa mlango wa kutokea. Chelsea huwa hawajali ni kiasi gani watalipa kuvunja mkataba wa kocha, leo hii maamuzi ya Chelsea yameifanya klabu yao kurudi kwenye ramani.
 
manchesterunited-20211018-0001.jpg
 
Mambo yatakaa Sawa TU,Hata yeye anaumiza Kichwa Kwa jinsi anavyo fanya vibayaa Kwa Sasa,Lazima anajiuliza anakosea wapi na Kwa mechi zinazo kuja Nina Imani atafanya improvement kutokana na makosa aliyo yaona,Maana Timu inapofungwa na yeye anaona na kunote kakosea wapi mpaka kufungwa.Wanaosema atafungwa mechi 6 mfululizo kuanzia Kwa Atalanta,sidhani. Kuna mechi atawin,atadraw na akilose ni chache Lakini Siyo sita.


Kuhusu kufukuzwa,juzi TU ndo kaongezewa mkataba mpya wa miaka mitatu na kipengele cha kuongeza mwaka mmoja.Kama kawaida mkataba ukivunjwa kabla ya muda wa kocha Timu inapoteza Hela nyingi za kuvunja mkataba wake.
hata kama hawataki kimfukuza kama matokeo yatakuwa mabaya itawalazimu
 
Sijasema atafanya vizuri mwishoni.Ila UkwEli ndo huo.kufanya vibayaa mwanzooni ni vizuri zaidi kuliko kufanya kufanya vizuri mwanzoni na kuishia kuanguka.Maana yangu ni kwamba Kwa sababu Timu inafanya vibayaa Kwa Sasa na ukiangalia imefanya usajiri mkubwa msimu huu,Kocha ana presha na hiyo presha ndo itafanya kujiuliza shida ni Nini ya kufanya vibayaa,Means Yale makosa anayo hisi ndo chanzo Cha kufanya vibayaa atayashughulikia na mambo yataenda Sawa.
kwani tumeanza leo mbona hajashughulikia huko nyuma.
 
Hii timu Ili iendelee inabidi Ole aache kuwaogopa wachezaji wake, inabidi wawe accountable na makosa yao uwanjani awaseme au benchi liwahusu bila hivyo sioni tukitoka hapa wana errors nyingi za wazi na anacheka tu kima yule.

Yani ukiangalia uchezaji hata pasi unaweza kudhani leister ina world class players kuliko united.
Ole anastahili lawama za kufa mtu tena hata kazi afukuzwe

Erick bailly mzima unachezeshaje friji maguire katoka kuumwa?

Nilitegemea bailly acheze na victor

Huyu greenwood ni mchezaj mzur ila kumpa dakika 90 ni nyingi sana kwanza mbinafsi ni heri wangegawana na lingard angeanza jessey huwa napenda sana greenwood akiingia kipind cha pili na huwa anafanya vizur

Shaw sijui nani alitudanganya bek mzur kwangu bado sana pamoja na takwimu za kutengeneza mashambuliz anazo nzur ila huwa anachomesha sana

Sasa yule mholanzi kanunuliwa wa nini?

Pogba ukimshusha CDM lazima tuyumbe kocha anamshusha pale

Ana Bruno,Pogb na Ronaldo plus ka greenwood hao wote hamna wa kukaba kwa nini usipigwe?

Muda wote kumtesa bissaka,de gea na lindelof yule maguire katoka kuumwa alikuwa hawez kufanya lolote

Ukiangalia goli alilofunga Daka mzambia frij maguire anamuangalia tu na kocha lipo limekaa bench kenge kabisa

Kuna mistake Lukaku aliifanya inter conte alimuita alimkata biti la maana sasa yule super sub anachekacheka tu mech zote rahisi kaangusha point anategemea kuamka kwa manchester city?

Manchester city,, liverpool na chelsea wanacheza mpira wa kiume na ukianza kuangalia unatamani mech iendelee
 
Sijasema atafanya vizuri mwishoni.Ila UkwEli ndo huo.kufanya vibayaa mwanzooni ni vizuri zaidi kuliko kufanya kufanya vizuri mwanzoni na kuishia kuanguka.Maana yangu ni kwamba Kwa sababu Timu inafanya vibayaa Kwa Sasa na ukiangalia imefanya usajiri mkubwa msimu huu,Kocha ana presha na hiyo presha ndo itafanya kujiuliza shida ni Nini ya kufanya vibayaa,Means Yale makosa anayo hisi ndo chanzo Cha kufanya vibayaa atayashughulikia na mambo yataenda Sawa.
Ligi iliyoisha bingwa manchester city alikuwa Ole alianza vibaya na kamaliza vibaya kipi kinakupa matumaini? Kuanzia dakika ya 60 mech ya leicester city timu ilivurugika vibaya sana na hakukuwa na jitihada za mbinu za kocha kuirudisha kuwa timu inayotafuta kitu alitulia tu ina maana hakuwa na ziada ile mech naifananisha na mech ya young boys

Unaamini Ole ana mbinu? Hapana ole hana mbinu siku wachezaj wetu wakiwa na mchezo mzur wanambeba siku wakiwa vibaya kocha hana jipya
 
Kwanza kocha wetu ananishangaza sana timu inayoruhusu goli kila mech kisha ndio inakuwa timu ya kwanza ni dhahiri hamna upeo hapo binafsi tu inanipa shida je mhusika mwenyewe inakuwaje?

Conte akiwa chelsea walienda mech nne mfululizo wakiruhusu magoli alibadili mfumo chap ukawa ukuta mgumu sana ole kila mech GG kawaida sana hiyo timu gani?

Kashindwa kumtumia Telles na DVB ujio wa Varane nilitegemea hata angajaribu kumtumia na bailly ndio kwanza kakomaa na mtoto wa nyumban muingereza
 
Shida ya Manchester United ni wamiliki pamoja na uongozi mzima. Ole kama muajiriwa mwingine yoyote alipewa kazi ya kuisaidia timu kubeba mataji ila uwezo wake ndiyo umeishia hapo. Ole anatimiza majukumu yake ya kazi waliomuajiri ndiyo wana matatizo kuona mtu waliyempa kazi bado anafaa kuifanya hiyo kazi.

Hata Ole akifukuzwa bado shida ya United itabaki palepale, akija kocha mwingine akishindwa kuifikisha timu mahali bado tatizo litakuwa lilelile la kunga'ang'ania watu ambao sio sahihi.

Uwezo wa Ole ni mdogo ila yeye ndiyo ametutoa point C kwenda B ila kwa sasa tunahitaji sana mtu wa kututoa point B kwenda A. Kwa kikosi tulichonacho siyo timu ya kushindwa kushinda mechi kama ya Leicester ambao walianza ligi vibaya, haiwezekani kila timu tukikutana nayo inaoneka inacheza vizuri, haiwezekani kila mchezaji tunayemsajili akija kwetu ni average player.

Shida ya hii timu inaanzia juu, kuna shida mahali. Masuala ya kupeana kazi kwa u-legend ndiyo yanatu-cost. Pia kuwa wazuri sana kwa wachezaji kunatufanya tuwe timu dhaifu sana. Mifano hai ipo: Real Madrid ni klabu yenye mafanikio kwasababu mchezaji akishindwa kufanya vizuri anaonyeshwa mlango wa kutokea. Chelsea huwa hawajali ni kiasi gani watalipa kuvunja mkataba wa kocha, leo hii maamuzi ya Chelsea yameifanya klabu yao kurudi kwenye ramani.
Kinachoiponza hii timu ni wale vijana wa class of 92 wana midomo sana sio uongozi wala wamiliki kama watu wanatoa 80£ unawezaje kuwalaumu?

Gary Neville anasema conte hafai hana soka type la manchester united sasa unajiuliza kocha yupi mwenye soka la manchester united ambae hana kazi? Ukifikiria kiundani hawa wanasumbua wachezaj had wamiliki kwa ile midomo yao wanayotoa kwenye luninga had mashabiki wanatawanyika hawajui washike lipi juzi scholes anasema ole apewe muda kwa lip wameona?

Wale class of 92 wengine walikuwa makocha wametimuliwa mapema sana yule scholes kadumu wiki tu

Manchester united kwa upande wa makocha wa kulemba wanaowataka hawapo sokoni

Klopp na pep ni hao tu na kwamwe hawawez kufundisha timu yetu

Pengine wakampigie magoti mzee

Jupp Heynckes
download.jpg
 
Back
Top Bottom