Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,695
- 32,446
Hii timu sasa hivi haina uwezo wa kupiga pasi consistent hata tatuKuna mda tumepigiwa pasi mpaka nikajua ni Barcelona
Hii timu sasa hivi haina uwezo wa kupiga pasi consistent hata tatuKuna mda tumepigiwa pasi mpaka nikajua ni Barcelona
Sio niwe ninafuatilia nimeona niachane na hiyo mada cz wewe huwa hukubali kushindwa.Uwe unafuatilia mkuu
Nadhani pia anachagua wasaidizi kwa mazoea ni watu average sana alionao benchi.Hii coaching staff aliyonayo Ole haiwezi kumpa timu nzuri heri ampe kazi Rene Moulesteen au Rui Faria.
Wanaona mkuu hope jamaa wameshaanza kumtafutia angle sasa hivi atoke tu.Hii timu inacheza kama wanakusanyana siku ya mech tu ina maana hata wao wazungu wenye timu yao hawaoni huu ujinga wa kocha?
Me nilishaachaga muda mrefunafikiria kuchukua likizo ya kutokuangalia mechi za manchester united
Kwa sasa hatuna excuse nyingine yoyote ni poor coachinghuyu jamaa yetu hata kama atazawadiwa fabinho, casemiro na ngolo kante ndani ya timu yake tusitegemee mabadiliko, timu yetu inaruhusu sana presha kutoka kwa adui na hili ni tatizo la mfumo mzima wa kiuchezaji. Ifikie hatua tuache kulaumu mchezaji mmoja mmoja kama tufanyavyo kila wiki.
#mufc have now kept just one clean sheet in the last 19 games


huyu jamaa yetu hata kama atazawadiwa fabinho, casemiro na ngolo kante ndani ya timu yake tusitegemee mabadiliko, timu yetu inaruhusu sana presha kutoka kwa adui na hili ni tatizo la mfumo mzima wa kiuchezaji. Ifikie hatua tuache kulaumu mchezaji mmoja mmoja kama tufanyavyo kila wiki.
#mufc have now kept just one clean sheet in the last 19 games
Afadhali umesema kama ambavyo huwa namuona huyu jamaa. Hadi anafungisha hilo lilikuwa kosa la pili anafanya.Sio hayuko fit bali ana errors nyingi huyo mwingereza.
brother, hatuna kisingizio wala yeye mwenyewe hatakiwi kuwa na kisingizio.Kwa sasa hatuna excuse nyingine yoyote ni poor coaching