Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

New Star

FB4F79kXMAAjt--.jpeg
 
Formation ya man u haifanyi kazi kwenye soka la England 4231 kwa wale wachezaji acheze 3421 varane lindelof maguire
Shaw,mctomney,pogba,wan-bissaka,

Rashford,fenandes

Ronaldo au Cavani

Hakuna timu itaweza kuigusa man u... Hii ni formation ya conte.
 
Kama Klopp alipewa misimu 5 mpk kubeba kombe.. tumpe muda ole.. naamin misimu miwil mbele Manchester United itakuwa vizur unstoppable... tumpe muda ole...

Hata roma haikujengwa kwa siku moja
 
Ole apewe muda ..

Ni bonge la kocha....

Note: ole anaweza kushusha daraja timu ,ni fundi kweli kweli kwa hio kazi
 
Timu ina talents kubwa sana aisee..full of stars.

Kocha kashindwa kutengeneza balance,system of play,defending system na wachezaji kuwa na ari pamoja na umakini.

Ata Antonio Conte' pia sio mbaya akasuka mipango ya kunyanyua kwapa..hiki kikosi ni aibu kivurugike bila hata ya kikombe cha uji.
Hakuna masar zaidi ya wa 4 hapo wengine wote ni overrated player's
 
Back
Top Bottom