Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kipindi tunaperforn vibaya chini ya Mou....Gary neville na kikundi chake utawasikia

"There is too much quality there, its just the system of playing is not owky, the coach is not suitable for this team"

Haya Kikosi kile amepewa Ole na kuongezewa wachezaji kibao wazuri na wagharama, leo hii Gary anasema

"there is unbalance in the team when you look at Greenwood, Rashford, Sancho, Bruno, pogva and ronaldo"

Hasemi tena kocha sio mzuri.....hiyo ubalance ni kwasababu tunacheza mpira mgumu unaotegemea individual brilliance kuliko kucheza kitimu.....

hawa legends wa hii timu wakae mbali na timu wanachangia sana mwenendo mbovu wa hii timu......Naamini bila makelele ya Legends Ole asingepewa ule mkataba ila walipiga makelele akapewa.....
 
Kipindi tunaperforn vibaya chini ya Mou....Gary neville na kikundi chake utawasikia

"There is too much quality there, its just the system of playing is not owky, the coach is not suitable for this team"

Haya Kikosi kile amepewa Ole na kuongezewa wachezaji kibao wazuri na wagharama, leo hii Gary anasema

"there is unbalance in the team when you look at Greenwood, Rashford, Sancho, Bruno, pogva and ronaldo"

Hasemi tena kocha sio mzuri.....hiyo ubalance ni kwasababu tunacheza mpira mgumu unaotegemea individual brilliance kuliko kucheza kitimu.....

hawa legends wa hii timu wakae mbali na timu wanachangia sana mwenendo mbovu wa hii timu......Naamini bila makelele ya Legends Ole asingepewa ule mkataba ila walipiga makelele akapewa.....

Tatizo kubwa ni pale tunapokuwa hatuna mpira hakuna wachezaji wa kutafuta mipira.

Jana nilipoona Matic na Pogba nikajua tumekwisha.LC walistahili kushinda Sijui kwanini Ole haoni huu udhaifu.
 
Tatizo kubwa ni pale tunapokuwa hatuna mpira hakuna wachezaji wa kutafuta mipira.

Jana nilipoona Matic na Pogba nikajua tumekwisha.LC walistahili kushinda Sijui kwanini Ole haoni huu udhaifu.
Mkuu Ole sio kama haoni huu udhaifu, hapana anaona ila anashindwa kusolve.....

Hili tatizo linasolvika kwa kucheza attacking football na kumiliki mpira muda mwingi wa mechi....

je Ole anaweza kufundisha aina hiyo ya mpira? Sina uhakika lakini labda waliomuongezea mkataba wanamjua vizuri.....
 
Kitoabu
Alishaona hii timu ya kindezi kaamua kijichimbia huko machimboni tu

Ole is genius, tatizo wachezaji.

Tuliposema cr7 mmenunua jina na sio mchezaji hamkutuelewa

Tulipopiga makelele kuhusu magwaya, mkasema tuna waonea wivu

Mnataka ole amfanye nini bisaka zaidi ya kile anachotoa uwanjani!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kubwa ni pale tunapokuwa hatuna mpira hakuna wachezaji wa kutafuta mipira.

Jana nilipoona Matic na Pogba nikajua tumekwisha.LC walistahili kushinda Sijui kwanini Ole haoni huu udhaifu.
Hata tukiwa nao tunaufanyia nini ikiwa pasi za kwenda mbele 5 zinatushinda?
 
Back
Top Bottom