Hawa commentators wanavyojiongelesha....
Hawajui kwamba, winning ugly is Man United style
Mambo ya kuwa eti United aren't at their best today, ni ishara ya kwamba haifahamu United
Dah! Ukisikia kunyangwa tonge mdomoni, ndiyo hii....
Heko kwa Cardiff, walicheza kwa jihadi sana....wamestahili kupata droo....
Hii mipira ya set pieces, inasumbua sana United sasa.....
Anyway.....still hanging ther....10 unbeaten games in all competitions....
#GGMU
Haya original #mburukenge mwakigeni hapa...
Last summer David aliangushwa na Ed, Executive Vice President wa United. Jamaa alikuwa hana uzoefu na siasa za usajili....
January hatorudia makosa tena.....na keshasema, katika usajili anataka kuwa na project ya muda mrefu....hivyo hatosajili vikongwe, bali vijana ili aandae hiyo project yake....
#Mburukenge original wote kimya.....
ha ha ha ha ha! wakati mbuzi choma ikisubiriwaa!!
Hawa commentators wanavyojiongelesha....
Hawajui kwamba, winning ugly is Man United style
Mambo ya kuwa eti United aren't at their best today, ni ishara ya kwamba haifahamu United
Still the same problem kwa Moyes,anamuingiza Giggs kufanya nini,Cleverley na Felaini ndio wameuza timu.Tunahitaji kununua viungo Januari
mwaka mbaya huu, sina pressure kwasababu nilishajiandaa toka mwanzo wa msimu, ilimradi tusikose nafasi nne za juu.
Bado tuna Opportunity nzuri tu gap la walio juu si kubwa sana, December inawezekana kabisa kufuta gap lililopo sasa hasa kipindi ambacho timu za juu zinakutana zenyewe kwa zenyewe
88th min....Fellaini is the MOTM today for United....
Still the same problem kwa Moyes,anamuingiza Giggs kufanya nini,Cleverley na Felaini ndio wameuza timu.Tunahitaji kununua viungo Januari
Kweli....uzuri kuna back room staffs wawili wamekuja katika kitengo cha usajili....nafikiri hiyo ni ishara nzuri kwamba David hakufurahishwa na mambo ya summer.....
mwaka mbaya huu, sina pressure kwasababu nilishajiandaa toka mwanzo wa msimu, ilimradi tusikose nafasi nne za juu.