Wandugu Masanja
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 1,584
- 553
Belo
Arsenal siku zote wanacheza mchezo uleule timu yenu ndio imebadilika kimchezo
Arsenal siku zote wanacheza mchezo uleule timu yenu ndio imebadilika kimchezo
Kwani nimesema Arsenal wamebadilika,hawajabadilika ndio maana tunaendelea kuwafunga kila msimuBelo
Arsenal siku zote wanacheza mchezo uleule timu yenu ndio imebadilika kimchezo
Kwani nimesema Arsenal wamebadilika,hawajabadilika ndio maana tunaendelea kuwafunga kila msimu
[h=5]bila Carrick na Rvp kushinda kimbembe,wapigeni sindano za ganzi mana next wk una gemu ngumu kuliko ya jana[/h]
sikukwambia kuwa Arsenal wamebadilika nilisema Arsenal wanacheza mpira uleule kila siku nyinyi ndio mumebadilika mumeanza kuwa kimeo
sisi hatukamii gemu nyinyi mukicheza na Arsenal ndio kama finali
Nilikuwa na mawazo kama wewe but sioni timu ambayo ni serious title contender still ManCity,Chelsea,Liverpool,Arsenal na ManUnited kama ikiamka inaweza kuchukua ubingwa.
ManCity-foward yao iko vizuri sana lakini defence yao mbovu na wakipata majeruhi ya wachezaji 2 au 3(Kompany,Toure,Silva) wanayumba sana na wakienda ugenini utafikiri ni timu nyingine
Liverpool-Walianza vizuri sana defence yao ilikuwa ndio ilikuwa silaha yao now defence yao imekuwa mbovu sana nashangaa KoloToure siku hizi hachezi na bado wanahitaji kiuongo wa kumsaidia Coutinho
Arsenal-Walianza vizuri na msimu huu wanajituma sana naona now kasi yao imepungua na still wakipata majeruhi wachezaji 2 au 3 watapata tabu na bado hawajacheza na Chelsea na ManCity
Chelsea-Hii ndio timu niliyokuwa naiogopa lakini so far hakuna la kutisha Mourinho alilofanya labda msimu ujao ndio watakuwa hatari.
Acha kujichekesha kama mtoto wa kike,Man United kiwango chetu sio kizuri lakini angalia tofauti na hizo timu nyingine ambazo wewe unaziona ziko vizuri.Kama timu ikiamka still inaweza kuchukua ubingwa,kumbuka timu inayoongoza ligi imetuzidi point 7 na still hamjacheza na Chelsea na Man City.Baada ya game 6 mlianza kujiita mabingwa tulivyowafunga kama kawaida mkaanza kuleta visingizio,utake usitake sisi hata tuwe wabovu vipi nyie mkija tunawafunga kiulainiAcha kuweweseka wewe kwa hiyo wakati hizo timu zingine zinapata majeruhi Man U wanyewe watakuwa hawapati Majeruhi?
Hahahahahahahahahahahahahahahahaha Hatari saaana! Kwamba sasa hivi watu wa Manure wanaomba other timu wapate majeruhi ndio wao wafufuke!! Duuh hii Hatari. Kweli sasa hivi ni mwendo Tia maji tia maji tu.
Arsenal kwetu ni vibonde hatuna haja ya kuwakamia,ndio maana hata tuwe wabovu kiasi gani wakija wao tunawafunga kiulaini
uliiangalia gemu au ulisikiliza kwenye radio? Man united siku zote wakicheza na Arsenal hata babu yako FAG anajuwa lazima wacheze ngangari
Vipi safari hii hamutaki mchezaji mwengine? timu imekuwa kimeo bado hukubali na bado
Siku ya mechi ulikimbia jukwaani leo ndio unakuja zungumzia,sidhani kama mlipiga shuti golini,Kwenye EPL Arsenal tumeshawafunga goli 8,6,4,3,2,1 hakuna timu nyingine ambayo tumeifunga kama tunavyowafunga nyie
Siku ya mechi ulikimbia jukwaani leo ndio unakuja zungumzia,sidhani kama mlipiga shuti golini,Kwenye EPL Arsenal tumeshawafunga goli 8,6,4,3,2,1 hakuna timu nyingine ambayo tumeifunga kama tunavyowafunga nyie
Acha kujichekesha kama mtoto wa kike,Man United kiwango chetu sio kizuri lakini angalia tofauti na hizo timu nyingine ambazo wewe unaziona ziko vizuri.Kama timu ikiamka still inaweza kuchukua ubingwa,kumbuka timu inayoongoza ligi imetuzidi point 7 na still hamjacheza na Chelsea na Man City.Baada ya game 6 mlianza kujiita mabingwa tulivyowafunga kama kawaida mkaanza kuleta visingizio,utake usitake sisi hata tuwe wabovu vipi nyie mkija tunawafunga kiulaini
Sawa Sh*oga(umepaniki) me najichekesha ka mtoto wa kike. Mkuu hatukuwahi kujitangazia ubingwa mechi ya 6 maybe kama wewe ndio umewahi kututangaza kuwa mabingwa So nyie endeleen kushangilia kwa kuifunga Arsenal na kujifariji kwa kusubiri Arsenal, Man City na Chelsea wapate majeruhi. Na kumbuka hizo point 7 unazoiona chache zilikuwa 5 na unapozitafuta hizo kumbuka siyo kwamba hizo timu nyingine zitakuwa zimesimama mkuu. Na vilevile kumbuka kuwa wakati unasema Arsenal hawajacheza na Man City na chelsea, Man U nao hawajacheza na Totenham na Everton.
Halafu umesema mkiamka mtafanya vizuri but mtaamka lini mkuuu?? Hahahahahahahahaha Hatari saana!! Wa kuwaamsha hayupo hahahahahahaha.
NB: Endelea kujifariji soon timu nyingine zitapata majeruhi usiwe na wasiwasi.