Ni aje!? 1-1
Ni aje!? 1-1
watoto wa Cardiff wanawapeleka puta Manchester Utd. Rooney alitakiwa kulambishwa kisu.
BAK
nzi anashindwa kunijibu kama watatoka leo
Hana imani Mkuu, refa kameza firimbi baada ya defender kuunawa mpira ndani ya maguu 18 ya mtu mzima mwenye akili timamu, vinginevyo ingekuwa 2-2
#Mburukenge original wote kimya.....
Duh! Wewe upo Kitulumbi huko, unaona kuwa pale ni kunawa?!?
Umeona hata mchezaji mmoja wa Cardiff amelalamikia hiyo unayosema penati?
Chifu, mbona unaleta mineno kama ya ku kanga?!?