Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hebu mtafute asije kujitundika,
nimemuuliza mwanzo vipi leo mutatoka sikupata jibu, sasa nimeamini hii timu kimeo Belo vipi leo?nilikwambia ubingwa wenu ni kuifunga Arsenal iliyobaki muangalie upepo unavumia wapi?
Ligi ngumu safari hii
teh teh teh sijui hapa nzi ana hali gani..
 
Dah! Ukisikia kunyangwa tonge mdomoni, ndiyo hii....

Heko kwa Cardiff, walicheza kwa jihadi sana....wamestahili kupata droo....

Hii mipira ya set pieces, inasumbua sana United sasa.....

Anyway.....still hanging ther....10 unbeaten games in all competitions....

#GGMU

Haya original #mburukenge mwakigeni hapa...
 
hebu mtafute asije kujitundika,
nimemuuliza mwanzo vipi leo mutatoka sikupata jibu, sasa nimeamini hii timu kimeo Belo vipi leo?nilikwambia ubingwa wenu ni kuifunga Arsenal iliyobaki muangalie upepo unavumia wapi?
Ligi ngumu safari hii

belo yupo uhamishoni juba anajiliwaza ni jinsi gani atavuka hatua ya makundi..
 
Ndugu yangu Nzi kila siku nakwambia usimcheke mwenzako mapema subiri game yako pia iishe EPL ngumu sio La Liga mtu unatizama Real au Barca unajuwa Kabisa Leo wanaishinda sio chini ya 5 ligi EPL itabadilika muda Wowote ule hata wachini Kabisa anaweza kutoka chini na wajuu kushuka sana ndio raha ya EPL.
 
Dah! Ukisikia kunyangwa tonge mdomoni, ndiyo hii....

Heko kwa Cardiff, walicheza kwa jihadi sana....wamestahili kupata droo....

Hii mipira ya set pieces, inasumbua sana United sasa.....

Anyway.....still hanging ther....10 unbeaten games in all competitions....

#GGMU

Haya original #mburukenge mwakigeni hapa...

hawa walituhalibia sherehe na hamu nao kwani..
 
hebu mtafute asije kujitundika,
nimemuuliza mwanzo vipi leo mutatoka sikupata jibu, sasa nimeamini hii timu kimeo Belo vipi leo?nilikwambia ubingwa wenu ni kuifunga Arsenal iliyobaki muangalie upepo unavumia wapi?
Ligi ngumu safari hii

Arsenal ni kibonde wetu,8 years tunawafunga na tunabeba makombe while mnasindikiza.Kwetu ligi ngumu miaka yote na Arsenal ni kibonde wetu miaka yote
 
Two bad refeering decisions today:

1. Rooney should have been sent off by maliciously kicking Cardiff player...

2. Medel should have been sent off for slapping Fellaini; the freekick to the Cardiff's equaliser should haven't been taken.....
 
Ndugu yangu Nzi kila siku nakwambia usimcheke mwenzako mapema subiri game yako pia iishe EPL ngumu sio La Liga mtu unatizama Real au Barca unajuwa Kabisa Leo wanaishinda sio chini ya 5 ligi EPL itabadilika muda Wowote ule hata wachini Kabisa anaweza kutoka chini na wajuu kushuka sana ndio raha ya EPL.

Shikamoo #EPL
 
Still the same problem kwa Moyes,anamuingiza Giggs kufanya nini,Cleverley na Felaini ndio wameuza timu.Tunahitaji kununua viungo Januari
 
Nahisi Mbuzi choma imegeuka jivu kwa kuungua!!
Wenzako wanakwambia wanapata mbuzi choma wewe unawajibu--------. Mbuzi anageuka majivu.
Tehtehteh uchokozi huu unatafuta makaaa ya moto urushiwe wewe, Refa kabeba hawajabebeka. THE CHOSEN ONE atakuwa na kipara cha Morinho soon.
 
Still the same problem kwa Moyes,anamuingiza Giggs kufanya nini,Cleverley na Felaini ndio wameuza timu.Tunahitaji kununua viungo Januari

Kweli....uzuri kuna back room staffs wawili wamekuja katika kitengo cha usajili....nafikiri hiyo ni ishara nzuri kwamba David hakufurahishwa na mambo ya summer.....
 
hahahahaaaa masister uuuu usimcheke paka ------ na wee huna hata ya kukalia kitako
epl bwana hapa ndio kweli hua napata jibu la kua epl ni ngumu kuliko la liga
 
Kweli....uzuri kuna back room staffs wawili wamekuja katika kitengo cha usajili....nafikiri hiyo ni ishara nzuri kwamba David hakufurahishwa na mambo ya summer.....
Mie nafikiri Moyes kachaguliwa sababu Miezi ya kusign Kama hapewi pesa huwa halalamiki sio sawa na wengine Morinho angekuwa kashatafuta sababu nafikiri January kweli atanunuwa ila for right player sio wakukimbilia Hilo ndio nampa kidogo heshima mtu Kama moyes , watu Kama Sir Alex angepata tabu na Morinho na Sir Alex bado ana run team ushahidi anavyosafiri na timu away games.
 
Mie nafikiri Moyes kachaguliwa sababu Miezi ya kusign Kama hapewi pesa huwa halalamiki sio sawa na wengine Morinho angekuwa kashatafuta sababu nafikiri January kweli atanunuwa ila for right player sio wakukimbilia Hilo ndio nampa kidogo heshima mtu Kama moyes , watu Kama Sir Alex angepata tabu na Morinho na Sir Alex bado ana run team ushahidi anavyosafiri na timu away games.

Last summer David aliangushwa na Ed, Executive Vice President wa United. Jamaa alikuwa hana uzoefu na siasa za usajili....

January hatorudia makosa tena.....na keshasema, katika usajili anataka kuwa na project ya muda mrefu....hivyo hatosajili vikongwe, bali vijana ili aandae hiyo project yake....
 
Back
Top Bottom