Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,907
Rudia kunisomaKumbuka unazungumzia Matic wa miaka 26 vs Matic wa miaka 32.
Mata wa miaka 24 vs Mata wa miaka 31.
Kwa akili yako ya kawaida hao watu wanaweza kuwa na energy sawa uwanjani ??
Rudia kunisomaKumbuka unazungumzia Matic wa miaka 26 vs Matic wa miaka 32.
Mata wa miaka 24 vs Mata wa miaka 31.
Kwa akili yako ya kawaida hao watu wanaweza kuwa na energy sawa uwanjani ??
Wapi nimemuongelea Messi? Au unawashwa?Ronaldo cku zote ataendelea kuwa chini ya messi hilo halipingikiivi wangempata Messi
Kajifunze kuandika bado.Messi ana kipaji cha kuzaliwa,,,,timu ikielemewa ni mwepec kubadili game na kuipatia ushindi timu yake. Ronaldo icho ki2 hana.
the best player ever? anamagoli mangapi msimu huu mpaka sasa kulinganisha na Ronaldo?Wengine mnalaumu fernando kukosa penalt. Kama messi anakoswa na ndiyo ze best player ever, sembuse ronaldo na wenzie!!!!
Alafu musimlaumu kocha, wachezaji wakuraumiwa.
Mpaka sasa huko psg, amebadili mechi ngapi?? Unaongelea mpira wa magazetiniMessi ana kipaji cha kuzaliwa,,,,timu ikielemewa ni mwepec kubadili game na kuipatia ushindi timu yake. Ronaldo icho ki2 hana.
Nimekwambia ulete takwimu unaleta maneno.
Sema hapa umechapia sana na wewe sema unampenda mess sio hiki ulichoandika
Kama anasaidia timu ishinde wamebeba champions league ngap na ile barcelona na kisha ronaldo kabeba ngapi na madrid? Kwenye mech za mtoano na final nani ana goli nyingi? Nani top scorer wa uefa na national teams?
the best player ever? anamagoli mangapi msimu huu mpaka sasa kulinganisha na Ronaldo?
Moja ya statement ya kipuuzi kuwahi kutokea katika soka ni hii ya kwamba "Messi ana kipaji cha kuzaliwa ila Ronaldo hana kipaji cha soka."Messi ana kipaji cha kuzaliwa,,,,timu ikielemewa ni mwepec kubadili game na kuipatia ushindi timu yake. Ronaldo icho ki2 hana.
Brighton ataongoza ligi wiki hii.Msimamo unavutiaView attachment 1952746
Sisi man City tukikaa hapo juu .....Msimamo unavutiaView attachment 1952746
Mpaka sasa huko psg, amebadili mechi ngapi?? Unaongelea mpira wa magazetini
DuhKocha uwezo wake mdogo lakini Villa anafungwa si chini ya goli mbili GGMU

Mrejesho: TUJIPANGELeo game ya Madrid vs Villarreal lazima nicheki nione ujumbe anaotumiwa Solskjaer.
Mrejesho: TUJIPANGE
Villarreal.Jumatano tunacheza na nani?
Villarreal.
Muda huu naangalia mchezo wao hapa dk 94' 0-0 wanacheza na Real Madrid Santiago Bernabeu. Kwa jinsi wanavyocheza watatufunga.
umejuaje kama atatimuliwa hamna daliliTukifungwa tu ole anatimuliwa