Mind Game
Senior Member
- May 17, 2021
- 140
- 86
Dalili za kuchanganyikiwa hizi nenda kwa daktar wa manesi upate tibaKuwa na magoli mengi Ronaldo ndiyo yazuie messi asiwe best player ever!!! Pele ana magoli mengi lakini hafui dafu kwa messi.
Dalili za kuchanganyikiwa hizi nenda kwa daktar wa manesi upate tibaKuwa na magoli mengi Ronaldo ndiyo yazuie messi asiwe best player ever!!! Pele ana magoli mengi lakini hafui dafu kwa messi.
PeMsimamo unavutiaView attachment 1952746
NYUMBU MWEKUNDU ANAZIDI KUPOROMOKA ,,, NILISEMA HAYA LAST WEEK MPAKA MWEZI UJAO UKIMALIZIKA HILI KOSI LITAKUA UCHI KABISA,,,, YULE MZEE WA KIRENO PALE MBELE ANAYEVAA JEZI NAMBARI SABA ANAYETEGEMEA PIRA LIMGUSE AFUNGE ARUDI ALIPOTOKA EPL SIO LIGI YA WAZEE / WABABU.Msimamo unavutiaView attachment 1952746
Hyo game hakutoka na on target kabisaPe
NYUMBU MWEKUNDU ANAZIDI KUPOROMOKA ,,, NILISEMA HAYA LAST WEEK MPAKA MWEZI UJAO UKIMALIZIKA HILI KOSI LITAKUA UCHI KABISA,,,, YULE MZEE WA KIRENO PALE MBELE ANAYEVAA JEZI NAMBARI SABA ANAYETEGEMEA PIRA LIMGUSE AFUNGE ARUDI ALIPOTOKA EPL SIO LIGI YA WAZEE / WABABU.

Nasubili kuona villareal atakavokuwa anatesa shetani la OT .
Lazima uteseke tu ...Villareal kabissa. Labda wakutane na getafe angarau wanadraw



Moja ya statement ya kipuuzi kuwahi kutokea katika soka ni hii ya kwamba "Messi ana kipaji cha kuzaliwa ila Ronaldo hana kipaji cha soka."
Huwa sipendagi kabisa kuingia kwenye mijadala ya Messi na Ronaldo nani mkali maana huwa haina mantiki. Unaamini Messi ni mkali sawa, unaamini Ronaldo ni mkali pia uko sawa baki na unachoamini kwanini ulete vitu ili mmoja umuweke juu na mmoja awe chini.
Elewa kwanza neno 'kipaji' / 'talent' lina maana gani.
Na Edouard Mendy unamuweka wapi?Hahhaaaaa,,,uyu fundi mkuu. Kwangu mimi golikipa no1 in the world.
Jana nimeangalia mech ya chelsea yule kipa wao kwa sasa pale epl hamna wa kumzidi hata goli chelsea walilofungwa kiungo wao kamchoma kipa ulikuwa unaenda kwa mendyHahhaaaaa,,,uyu fundi mkuu. Kwangu mimi golikipa no1 in the world.
Ushenzi ushenzi ushenzi.Hii team bwana, tukiongea tunaonekana plastic fans.Haya game ya pili hii tunapigwa OT, tuendelee kuvumilia OLE ana kitu cha ziada.
Bora tumefungwa, me binafsi nataka tupoteze hata mechi tano zijazo Ili angalau baadhi ya watu wafunguke akili kuwa hatuna kocha.
Nimeangalia fixture ya October, nikaangalia na mpira tunaopiga nimejiridhisha kwamba ninalolitaka litatimia, ni swala la muda tu.




Uzuri wa mchezaji ni statistics, wacha mahaba yako kwa MessiCku zotee ataendelea kuwa chini ya Messi. Messi ni mmoja tu dunianii,,,, Messiii ni kipaji cha kuzariwa.
Messi kama forward unatakiwa umtetee kwa takwimu kama hiziCku zotee ataendelea kuwa chini ya Messi. Messi ni mmoja tu dunianii,,,, Messiii ni kipaji cha kuzariwa.
| Ronaldo | Messi | |
| Big trophies won | 27 | 34 |
| Goal scored | 783 | 748 |
| Goal per game | 0.72 | 0.8 |
| Assist provided | 226 | 300 |
| Awards | ||
| Ballon d'Or | 5 | 6 |
Na jamaa aliufata uelekeo WA mpira
