Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

✓Guys tufanye tunaloweza kufanya Matic apate dakika kiasi uwanjani..huyu jamaa huwa anapandisha timu na kucheza pasi zenye akili akianza kuingia kwenye eneo la wapinzani.

✓Ole aliendelea kutuonyesha kuwa hawa wachezaji wetu huwa wanafanya jogging tu kwenye training...hatuchezi kama watu wanaofundishwa vizuri..Kikosi tulichonacho inabidi tupige mpira mkubwa sana.

Anyway,ngoja tuone tena kwenye League Cup tutafanyaje vs hawa jamaa.

Tuchel naona hana maksihara..kashamalizana na Liverpool,Spurs na wikiendi anamalizana na City..Tujipange aisee
Nakumbuka matic alipokuwa Chelsea alikuwa Moto sana kaja huko manure kadoda mbaya

Sometimes unaweza sema.hayupo huko

Mata nae japo alikiwa hapati dakika za kutosha Chelsea ila alikuwa na impacts kubwa Sana kaja huko manure ndio kabisa saivi anakula mshahara

Hazard da maskini huyu jamaa angecheza.pale Chelsea Hadi leo angekuwa na statistics za kutisha Sana

Kakimbilia Madrid kanenepeana kadoa

Sitaki kumzungua lukaku maana mnajua jinsj manure mlivyom shit

Hehehe

#ktbffh
 
Unapata wapi ujasiri wa kuita mashabiki wenzako wapumbavu.?
Sasa kama hawataki kuheshimu mawazo ya wenzako tuwaiteje? Mtu akichangia yeye unamjibu kwa hoja bila matusi, wewe ukichangia tofauti na mtazamo wake unaitwa plastic fan.

Hivi Man U, iwe na plastic fans kwa mafanikio gani iliyoyapata hivi karibuni? Plastic fans washindwe kupatina Chelsea, Man City na Liverpool waje wapatikane kwenye team ambayo haijachukua kombe mwaka wa nane huu?

Ni sawa na uanze kufikiria kuna plastic fan wa Arsenal, kwa moyo gani wa uvumilivu alio nao?😅
 
Sasa kama hawataki kuheshimu mawazo ya wenzako tuwaiteje? Mtu akichangia yeye unamjibu kwa hoja bila matusi, wewe ukichangia tofauti na mtazamo wake unaitwa plastic fan.

Hivi Man U, iwe na plastic fans kwa mafanikio gani iliyoyapata hivi karibuni? Plastic fans washindwe kupatina Chelsea, Man City na Liverpool waje wapatikane kwenye team ambayo haijachukua kombe mwaka wa nane huu?

Ni sawa na uanze kufikiria kuna plastic fan wa Arsenal, kwa moyo gani wa uvumilivu alio nao?😅
Tatizo ni kuamini wewe unajua mpira kuliko waliompa kazi, wewe una uchungu na Man U kuliko yoyote yule.
Toka msimu uanze team haijafungwa kwenye ligi ina draw moja tu. Ila hizo lawama kwa kocha utafikiri tupo relegation zone.
 
Tulia wewe bwana mdogo,soka haijawahi kuwa na direct way ya kuanalyse mambo,flactuations zipo sana...fanya kazi upate hela ya kununua ticket ili mjaze emptyhad.
mwambie aingie Google baadae atafute empty seats, baada ya hapo ataletewa result zipi kwenye ukurasa wa kwanza?

Guardiola amezua balaa
 
Nakumbuka matic alipokuwa Chelsea alikuwa Moto sana kaja huko manure kadoda mbaya

Sometimes unaweza sema.hayupo huko

Mata nae japo alikiwa hapati dakika za kutosha Chelsea ila alikuwa na impacts kubwa Sana kaja huko manure ndio kabisa saivi anakula mshahara

Hazard da maskini huyu jamaa angecheza.pale Chelsea Hadi leo angekuwa na statistics za kutisha Sana

Kakimbilia Madrid kanenepeana kadoa

Sitaki kumzungua lukaku maana mnajua jinsj manure mlivyom shit

Hehehe

#ktbffh
Kumbuka unazungumzia Matic wa miaka 26 vs Matic wa miaka 32.

Mata wa miaka 24 vs Mata wa miaka 31.

Kwa akili yako ya kawaida hao watu wanaweza kuwa na energy sawa uwanjani ??
 
✓Guys tufanye tunaloweza kufanya Matic apate dakika kiasi uwanjani..huyu jamaa huwa anapandisha timu na kucheza pasi zenye akili akianza kuingia kwenye eneo la wapinzani.

✓Ole aliendelea kutuonyesha kuwa hawa wachezaji wetu huwa wanafanya jogging tu kwenye training...hatuchezi kama watu wanaofundishwa vizuri..Kikosi tulichonacho inabidi tupige mpira mkubwa sana.

Anyway,ngoja tuone tena kwenye League Cup tutafanyaje vs hawa jamaa.

Tuchel naona hana maksihara..kashamalizana na Liverpool,Spurs na wikiendi anamalizana na City..Tujipange aisee
Mashabiki wa united tunatabia ya kusahau sana.
Matic huyu huyu ndiyo aliyeruhusu tuteswe na Southampton pamoja na Wolves.

Sisi mchezaji akipiga pass moja nzuri tunasahau kila dhaifu lake na kuona wengine wote hawafai.

Hoja yangu haimanishi Matic hana ubora wowote.

Ukweli ni kwamba katika mfumo wetu wa double pivot

FredScot hii ndiyo double pivot strong zaidi kwenye kikosi chetu.

FredPogba hii ni partnership mbovu zaidi katika kikosi chetu.

Scot Pogba ni double pivot imara pia.

Matic Pogba ni double pivot strong ila siyo sawa na zingine.

Ni heri tuendelee kuomba Scot asipatwe na majeraha kuliko kutegemea 32 old Matic. Kwasababu Scot huwa anawacompliment hao wengine wote.
 
Mashabiki wa united tunatabia ya kusahau sana.
Matic huyu huyu ndiyo aliyeruhusu tuteswe na Southampton pamoja na Wolves.

Sisi mchezaji akipiga pass moja nzuri tunasahau kila dhaifu lake na kuona wengine wote hawafai.

Hoja yangu haimanishi Matic hana ubora wowote.

Ukweli ni kwamba katika mfumo wetu wa double pivot

FredScot hii ndiyo double pivot strong zaidi kwenye kikosi chetu.

FredPogba hii ni partnership mbovu zaidi katika kikosi chetu.

Scot Pogba ni double pivot imara pia.

Matic Pogba ni double pivot strong ila siyo sawa na zingine.

Ni heri tuendelee kuomba Scot asipatwe na majeraha kuliko kutegemea 32 old Matic. Kwasababu Scot huwa anawacompliment hao wajinga wajinga wengine wote.
Na mimi kwa kulijua hilo ndo maana nimesema apewe dakika kiasi,sijasema aanze kila game maana nguvu hiyo hana kwa sasa..kuna games anafit poa tu hasa ambazo mpinzani hapress sana..
 
Na mimi kwa kulijua hilo ndo maana nimesema apewe dakika kiasi,sijasema aanze kila game maana nguvu hiyo hana kwa sasa..kuna games anafit poa tu hasa ambazo mpinzani hapress sana..
Matic sasa hivi anachukuliwa kama back up tu na probably haijapatikana offer sahihi kwake huenda akauzwa.
 
Tatizo ni kuamini wewe unajua mpira kuliko waliompa kazi, wewe una uchungu na Man U kuliko yoyote yule.
Toka msimu uanze team haijafungwa kwenye ligi ina draw moja tu. Ila hizo lawama kwa kocha utafikiri tupo relegation zone.
Hiyo ndo shida kubwa mliyonayo baadhi yenu, mtu akitoa maoni yanayokipangana na yenu anaonekana anajifanya kuujua sana mpira kuliko nyinyi.

Unzungumzia kuanza kwa msimu kwa ushinid na droo kama kigezo cha dalili nzuri msimu huu? Kwani msimu mingine Man U huwa inaanzaje? Na nini huwa kinatukuta mwisho wa msimu?

Watu tunaangalia namna ambavyo tunaupata huo ushindi (tunabahatisha), ndomaana tunalalamika kwakua tunajua hukobtuendako sio kwema hata kidogo.

Umenichekesha sana mkuu, kwamba hatufai kulalamika kwakua team haipo kwenye relaxation? Kwahiyo tuwe tuna subiri mwisho wa msimu ndo tuanze kulalamika makosa ambayo yanaonekana mapema kabisa?
 
Kuuliza sio ujinga sosha hana mfumo tafauti lazima atumie double pivot? Alafu ukiangalia game zetu hatupo aggressive kabisa kwenye ukabaji tafaut na timu kama liver na Chelsea
Mimi nina wasiwasi na uwezo wa sosha kimbinu...angalia Chelsea aliyoiacha Lampad alivyokuja tunchel imebadilika kabisa...sisi tunakikosi lakn mbinu za kocha hazipo sawa
Kuna watu watakwambia,hautakiwi kumkosoa Sosha kwakua mpaka Sasa team haijafungwa wakati mbinu anazotumia ni zilezile ambazo zilifeli msimu iliyopita😅.

Kati ya wote, mashabiki wa aina hiyo nawachukulia kama watu wa ajabu sana.
 
mwambie aingie Google baadae atafute empty seats, baada ya hapo ataletewa result zipi kwenye ukurasa wa kwanza?

Guardiola amezua balaa
Hizo empty seats ndio zinamlipa pep na wachezaji wengine mishahara minono ...


Ndio zimemsajili grealish €100million...


Hizo empty seat ndio zimebeba epl ....

Hizo empty seat ndio zimefika final CL ,..

Hizo empty seat ndio zinatembeza kichapo baran ulaya ...

This is our city ,
 
Hizo empty seats ndio zinamlipa pep na wachezaji wengine mishahara minono ...


Ndio zimemsajili grealish €100million...


Hizo empty seat ndio zimebeba epl ....

Hizo empty seat ndio zimefika final CL ,..

Hizo empty seat ndio zinatembeza kichapo baran ulaya ...

This is our city ,
Hizo empty seats ndizo zimesababisha Chelsea imemshushia kipigo Cha mmbwa koko City zaidi ya mara 3 mfululizo
 
Back
Top Bottom