Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwenye hizo game 11 shetani mwekundu akikaza Sana anaweza kushinda nne kwa kubebwa, nyumbu mwekundu huyu huyu anayemtegemea yule mzee wa kireno pale mbele Mpira umguse afunge 😂😂🤣🤣🤓🤓
Kiwango chako cha kujielewa ni kidogo sana.

Ni maoni yangu tu
 
Haters wameongezeka sana kipindi hiki.

Na sababu ni moja tuu, wanajua tuna Timu nzuri, hivyo wanaOGOPA.
 
Moja kati maamuz mazuri( kwa Club na Lukaku mwenyewe) , OLE aliwahi fanya nikumruhusu Lukaku kuondoka Man U.

Tatizo binadamu ni wasaulifu sna.
Lukaku alitaka kuondoka United baada ya OGS kuanza kumpiga benchi baadae kumchezesha pembeni na kuwapa nafasi zaidi Martial na Rashford kucheza kama katikati,baada ya kumuondoa tatizo halikuisha ikambidi OGS kuwanunua Ighalo,Cavani .
Wengine wakasema Lukaku hafit kwenye mfumo wa OGS (4-3-3)
 
79
Haters wameongezeka sana kipindi hiki.

Na sababu ni moja tuu, wanajua tuna Timu nzuri, hivyo wanaOGOPA.
Wewe na Chelsea yupi mwenye team nzuri? au wewe na man city Nani kwenye team nzuri? Asimilia kubwa ya mashabiki hawaipendi man u kwa sababu ya mdomo wenu a.k.a wapiga makelele sio tofauti na hapo.
 
Najaribu kufanya stress testing ktk kikosi chetu, Je Ole ana mbinu mbadala ya kucheza bila Ronaldo, Bruno, Pogba na Greenwood endapo watapata majereha au kadi nyekundu?

Ule mchezo wa juzi dhidi ya Westham umeonyesha waziwazi jinsi kikosi B kinavyocheza ni sawa sawa na jinsi kikosi A kinavyocheza utofauti wake ni kikosi A kina wachezaji wanaoweza kuamua mchezo wenyewe kwa uwezo wao.

Hofu yangu ni kwamba huwezi kushinda kombe kama timu haiwezi kupata ushindi bila key players. Ole tunapoteza muda, watu wanaomtetea naamini tutaongea lugha moja siku si nyingi sana.
 
Najaribu kufanya stress testing ktk kikosi chetu, Je Ole ana mbinu mbadala ya kucheza bila Ronaldo, Bruno, Pogba na Greenwood endapo watapata majereha au kadi nyekundu?

Ule mchezo wa juzi dhidi ya Westham umeonyesha waziwazi jinsi kikosi B kinavyocheza ni sawa sawa na jinsi kikosi A kinavyocheza utofauti wake ni kikosi A kina wachezaji wanaoweza kuamua mchezo wenyewe kwa uwezo wao.

Hofu yangu ni kwamba huwezi kushinda kombe kama timu haiwezi kupata ushindi bila key players. Ole tunapoteza muda, watu wanaomtetea naamini tutaongea lugha moja siku si nyingi sana.
Mashabiki wa United inabidi tu tuukubali ukweli kwamba Ole hawezi kufukuzwa na atamaliza msimu sasa badala ya kuongelea hizi habari zake ni heri tu kufurahia pale tutakaposhinda na tukifungwa basi tuvumilie tu.
 
HERE WE GO!!! CAVANI IS BACK!
Screenshot_20210925-133039_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom