Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wasiwasi wangu tulivyoanza mechi ya west ham ugenini ndivyo tutakavyoanza kesho.
namuona sancho akianzia benchi na nafasi yake kuchukuliwa na pogba
fred na scott kuanza pamoja eneo la midfield.
Most definetely..Ole hawezi kuachana na McFred...lakini mimi ningeanza kama nilivyokipanga hicho kikosi.
 
MY STARTING XI vs ASTON VILLA KESHO

=====

De Gea

AWB Varane Maguire Shaw

McTominay Pogba

Greenwood Fernandes Sancho

Ronaldo

======

Coach: Ole Gunnar Solskjaer(Msimamizi wa Jogging)
Yaani unajisahaulisha kocha wako mzee wa double pivot fred na scot
 
Ole Guna Sosha Super Coach
Screenshot_2021-09-24-15-55-03-28.jpg


Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Niliwahi kusema, kumuondoa Lukaku ni kosa la wazi tulilifanya.

Akaja Chief Mkwawa akaniambia Martial na Rashford ni aina ya wachezaji Ole anawataka kwenye mfumo wake.

Mpaka sasa Martial na Rashford kwa pamoja hawana magoli sawa na Lukaku.

Na Ole ndo ameonekana kituko.
Moja kati maamuz mazuri( kwa Club na Lukaku mwenyewe) , OLE aliwahi fanya nikumruhusu Lukaku kuondoka Man U.

Tatizo binadamu ni wasaulifu sna.
 
Kesho tunaendeleza safari ya Ole Out,
Kocha gani anakumbatia wajinga.

Ili kunogesha Ole Out, Ronaldo asimame kuelekeza kabisa. Ijulikane hatuna kocha.

Fergie hawezi rudi msimu mmoja yule babu?

Alafu Carricks na Ole huwaga wanaongea nini tukifungea unakuta vijamaa vinaloga na timu haibadiliki iko vile vile uchezaji.
 
Ole ni kocha mzuri sana, anajua kucheza na presha ya timu kubwa
 
Moja kati maamuz mazuri( kwa Club na Lukaku mwenyewe) , OLE aliwahi fanya nikumruhusu Lukaku kuondoka Man U.

Tatizo binadamu ni wasaulifu sna.
Kumuamini Martial na Rashford kuwa replacement ya Lukaku ulikuwa uzwazwa wa wazi. Hata mtoto wa std 7 alikuwa anajua hilo.

Lukaku alikuwa natural no. 9. Akiwa Belgium ulikuwa unaona matunda yake. Iweje akija Man Utd ashindwe?

Hatukuwa na kocha anayejielewa na anayejua wajibu wake. Ole ni useless trash.
 
#mufc scouts have been instructed to identify alternative options to Declan Rice amid concerns over West Ham's valuation and contrasting opinions at United over his ability to significantly improve the team [espn]

manutd |
#GGMU
 
Solskjaer on this season: "It's early doors but it's important the first two months you're not giving teams a head start and so far 13 points, decent return, scored quite a few goals, still things to work on and there'll be difficult challenges ahead."

manutd |
#GGMU
 
Back
Top Bottom