Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo la fan wa man united ni moja team inapo pata matokeo basi ni Quality ya wachezaji ila inapo enda tofauti kocha mbovu hata kama ni uzembe wa wazi wa wachezaji .

Mfano game ya Young boyz ni Wan bissaka ndio ali haribu game pengine ni bahat mbaya ila watu lawama kwa ole mara sub mara ivi na hasa sub ya lingard kwa ronaldo ndio watu waliiponda sana kisa jesse ali alichoma

Leo tuko sare game 1-1 anafanya sub jesse yule yule anaenda kutia kamba team inapata matokeo watu wanakwambia kikosi kina watu wanapa matokeo ole ..
Very stupid argument ...

Hiki kikosi katengeneza nani ?
Sub anafanya nani ?
Mifumo ya hao wachezaji anatengemeza nani?

Inamaana hamjui kama best player under bad coaching wanakua average kama sio poor
..

Man united wakati Ole anapewa ilikua na kina felaini ,smaling ,young ,Linderloaf ,lukaku,Perreira,martial huyu ambae ana tuboa ndio alikua mungu mtu..

Mnazingua sana kuna mda muwe realistic ole hajawahi kutoka top 3 full season zake zote japo hakua na forwad anae fikisha hata goli 15 per season ...

Ole kamfunga sana Pep huyo mnae muimba ,wakina anceloti sjui mou ,wakina Bielsa wote kapiga sana

Ole sio kocha bora ila sio kocha mbovu kama mnavyo sema nyimyi

mpeni kocha mnae mtaka halaf muone ...

Waulizeni Tottenham kinacho wakuta team ile wachezaji wale wale kapewa nuNo watu walio kua wana sema ni bora zaidi ya Ole na mou ila saivi watu wana jipigia tuu

Man united fan jifunzeni ku apreciate kazi anayo ifanya Ole ..


Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Anawalsalimia
Screenshot_2021-09-19-21-37-54-30.jpg


Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Anawalsalimia View attachment 1945408

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Kwamba ole hakuna game alio kua down au level first half akaja kufanya sub na kuchange formation second half akapata matokeo ?

Ama unataka nikuhesabie ?

Ya kwanza ni hii ya leo vs Westham

Watu wakiamua kukusifia wameamua tuu! ila pale EPL hakuna kocha mwenye comeback nyingi kumzidi Ole ..
Pia hakuna Sub zenye Goal involvement pale EPL zaidi ya za Ole ...

Twende na takwimu chungulia picha hapo chini

Kuhusu game changing second half na comeback sina haja ya kukuletea takwimu manaa kama unafatiliaga mechi basi unalijua hilo..

Huyu Tuchel mnae msifia aliishindwa PSG yenye Potentila kuliko United ya Ole na walikutana aka M'outclass akiwa na kina Chong na Perreira unakumbuka????
Au umekatwa kichwa ??
IMG-20210919-WA0058.jpg


Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba ole hakuna game alio kua down au level first half akaja kufanya sub na kuchange formation second half akapata matokeo ?

Ama unataka nikuhesabie ?

Ya kwanza ni hii ya leo vs Westham

Watu wakiamua kukusifia wameamua tuu! ila pale EPL hakuna kocha mwenye comeback nyingi kumzidi Ole ..
Pia hakuna Sub zenye Goal involvement pale EPL zaidi ya za Ole ...

Twende na takwimu chungulia picha hapo chini

Kuhusu game changing second half na comeback sina haja ya kukuletea takwimu manaa kama unafatiliaga mechi basi unalijua hilo..

Huyu Tuchel mnae msifia aliishindwa PSG yenye Potentila kuliko United ya Ole na walikutana aka M'outclass akiwa na kina Chong na Perreira unakumbuka????
Au umekatwa kichwa ??View attachment 1945446

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Kumbuka TT Ana miezi 9 tu
 
Kwamba ole hakuna game alio kua down au level first half akaja kufanya sub na kuchange formation second half akapata matokeo ?

Ama unataka nikuhesabie ?

Ya kwanza ni hii ya leo vs Westham

Watu wakiamua kukusifia wameamua tuu! ila pale EPL hakuna kocha mwenye comeback nyingi kumzidi Ole ..
Pia hakuna Sub zenye Goal involvement pale EPL zaidi ya za Ole ...

Twende na takwimu chungulia picha hapo chini

Kuhusu game changing second half na comeback sina haja ya kukuletea takwimu manaa kama unafatiliaga mechi basi unalijua hilo..

Huyu Tuchel mnae msifia aliishindwa PSG yenye Potentila kuliko United ya Ole na walikutana aka M'outclass akiwa na kina Chong na Perreira unakumbuka????
Au umekatwa kichwa ??View attachment 1945446

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Kwahyo unasema ole ana uwezo Sana au
 
Manchester United

Phil Jones opens up on injury hell, criticism from Rio Ferdinand & 'losing his mind'

[https://images2]

By Max Cooper

12:55 PM GMT+1



Manchester United outcast Phil Jones has opened up on his ongoing fight with a serious knee injury, the criticism he received from ex-Red Devil Rio Ferdinand and the persistent abuse aimed in his direction in a revealing interview.

The 29-year-old showed early promise in his career, but injury curtailed his progress, and he has not played for the Premier League giants since January 2020. He has become a lightning rod for abuse from supporters, particularly after signing a new contract with the club in 2019.

Jones has rarely spoken out over the unfortunate circumstances which have dictated his time at Old Trafford, but in an emotional interview with The Times, the former England international opened up on his struggles.

Here is a breakdown of Jones' frank interview.

Injury hell


Jones first admitted that he has been fighting a debilitating knee injury since his Blackburn Rovers days, which flared up at Man Utd at the beginning of his second season at the club. He suffered from severe meniscal damage, and was forced to have surgery on the knee.

However, the meniscus was so badly damaged that the surgeon was forced to remove it altogether, meaning his bones would rub together inside the joint. That caused serious pain when making sideways movements, and the issue eventually caught up with Jones.

“I’d get swelling after training. You’d lay a ball off and any resistance against the knee was just agony. The merest nudge,” Jones said.

“For years I’d go into games thinking, ‘I shouldn’t really be playing,’ and players would look at me, see the swelling and be thinking, ‘He’s playing here?’ But I love playing and I’ll do anything for United. If I have to play at 60% and know I can get through it, then why not?”

Another setback


The defender took the coronavirus lockdown and suspension of all football to rebuild himself, and by May 2020, when Man Utd returned to training, he felt 'in the best shape' he'd ever been in 'as a professional footballer'.

But on the second day of training, during a sprinting exercise, disaster struck. Jones completed a set of 'strides', “and then just couldn’t run, couldn’t pick my leg up to bend it. I just walked in.

“Everyone was saying, ‘What’s he doing?’ I’d lost my mind completely. I’m thinking, ‘I’m finished, can’t be bothered with all this any more.’ I went straight to the doc and said, ‘Enough’s enough. I’ve had too many anti-inflammatories, too many injections, too many close shaves. I need this sorted.’”

Surgery & rehab


After initial injections didn't resolve the issue, Jones underwent 'last resort micro-fracture surgery,' which involved drilling deep holes into the knee, hoping to create fibrous cartilage from the presence of blood.

Covid restrictions added months to Jones' recovery, extending delays between visits with his specialist in Barcelona, while the second and third lockdowns added to the mental and physical strain on the player.

“It was the lowest I’ve ever been as a human being," Jones confessed. "I used to come back [from United’s training ground] and be in bits. My head was an absolute mess. I’d be in tears. I’d say to Kaya, ‘I don’t know what to do.’ I remember us both crying.

“There were many times I felt an awful dad. You’re trying to give your kids your energy but you can’t. Listen, you’ve got daughters, if your daughter tells you you’re dressing up as a princess, you’re dressing up as a princess, but I just wasn’t there, wasn’t present in the moment. I’d be on my phone or miles away.

“I’m not scared of saying any of this. People and footballers, they’ll put on a front that everything’s all right, but you don’t know what’s going on behind closed doors.”

Criticism from Rio Ferdinand & Man Utd future



Jones' lack of impact on the Man Utd first team has seen him come in for plenty of abuse from supporters, but he's also been on the receiving end of criticism from a former teammate. Ferdinand branded him 'a waste of time' and accused him of blocking the path for a potential youngster to break into the first team. He was having none of it, though.

“Listen, the respect I’ve got is enormous. I’ve shared a dressing room with Rio - great professional. Loved playing with him. Great lad, good humour. Learnt so much off him. But what he said was poor. Really poor. I’m not into disputes, not into arguments, and if he didn’t know [Jones was injured], he didn’t know.

“Look, I’m private, so maybe people don’t understand me, but that’s the total opposite to how I am. I’ve done my absolute utmost. From tablets, to my diet, to setting up my house so that every time I get back from training I’m sitting in recovery boots and have my ice machine ready. Nobody can say, ‘You didn’t do enough.’”

In fact, Jones is feeling back to his best after the successful surgery, and he's ready to fight for his place at Man Utd.

“It feels almost like I’ve started my career again,” he said. “I feel young - not 29 but 25 or 26 - and because I’ve missed so much football I feel I have so much left in me.”

“I’ll fight for United until someone tells me, ‘Go somewhere else.’”

An easy target

Jones believes that he 'must be an easy target' for abuse, but he knows he will have 'the last laugh'.

“I must be an easy target. Every footballer has a tag and unfortunately mine is, ‘Let’s have a laugh at him.’

“But - and I say this in the nicest possible way - I know who’ll have the last laugh. I’m proud of my career and when it finishes and I’m enjoying my life - and by the way I’m super fortunate that I’ll be able to do that, because footballers are fortunate - [the keyboard warriors] will still be in their mum’s spare bedroom, sipping Diet Pepsi that’s flat, eating a Pot Noodle, sitting in their boxers, tweeting.”
 
Kwamba ole hakuna game alio kua down au level first half akaja kufanya sub na kuchange formation second half akapata matokeo ?

Ama unataka nikuhesabie ?

Ya kwanza ni hii ya leo vs Westham

Watu wakiamua kukusifia wameamua tuu! ila pale EPL hakuna kocha mwenye comeback nyingi kumzidi Ole ..
Pia hakuna Sub zenye Goal involvement pale EPL zaidi ya za Ole ...

Twende na takwimu chungulia picha hapo chini

Kuhusu game changing second half na comeback sina haja ya kukuletea takwimu manaa kama unafatiliaga mechi basi unalijua hilo..

Huyu Tuchel mnae msifia aliishindwa PSG yenye Potentila kuliko United ya Ole na walikutana aka M'outclass akiwa na kina Chong na Perreira unakumbuka????
Au umekatwa kichwa ??View attachment 1945446

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app

akikujibu nitag
 
Tatizo la fan wa man united ni moja team inapo pata matokeo basi ni Quality ya wachezaji ila inapo enda tofauti kocha mbovu hata kama ni uzembe wa wazi wa wachezaji .

Mfano game ya Young boyz ni Wan bissaka ndio ali haribu game pengine ni bahat mbaya ila watu lawama kwa ole mara sub mara ivi na hasa sub ya lingard kwa ronaldo ndio watu waliiponda sana kisa jesse ali alichoma

Leo tuko sare game 1-1 anafanya sub jesse yule yule anaenda kutia kamba team inapata matokeo watu wanakwambia kikosi kina watu wanapa matokeo ole ..
Very stupid argument ...

Hiki kikosi katengeneza nani ?
Sub anafanya nani ?
Mifumo ya hao wachezaji anatengemeza nani?

Inamaana hamjui kama best player under bad coaching wanakua average kama sio poor
..

Man united wakati Ole anapewa ilikua na kina felaini ,smaling ,young ,Linderloaf ,lukaku,Perreira,martial huyu ambae ana tuboa ndio alikua mungu mtu..

Mnazingua sana kuna mda muwe realistic ole hajawahi kutoka top 3 full season zake zote japo hakua na forwad anae fikisha hata goli 15 per season ...

Ole kamfunga sana Pep huyo mnae muimba ,wakina anceloti sjui mou ,wakina Bielsa wote kapiga sana

Ole sio kocha bora ila sio kocha mbovu kama mnavyo sema nyimyi

mpeni kocha mnae mtaka halaf muone ...

Waulizeni Tottenham kinacho wakuta team ile wachezaji wale wale kapewa nuNo watu walio kua wana sema ni bora zaidi ya Ole na mou ila saivi watu wana jipigia tuu

Man united fan jifunzeni ku apreciate kazi anayo ifanya Ole ..
Unaizungumzia swala la Bissaka kupata Kasi nyekundu ndo kuliharibu game? Yani kadi ndo ifanye Man U kupoteza kwa Team ndogo kama Young boys?

Ile game ya Chelsea na Liverpool, Chelsea alivyopigwa kadi aliyumba? Hebu fikira kwa huu uchezaji wetu tupigwe kadi tutakufa goli ngapi mbele ya Liverpool?

Kilichofelisha ile game sio kadi nyekundu, bali ni mbinu ambazo kocha ali-emply Ili kuendana na mapungufu ya wachezaji yaliyokuwa yanamkabili hapo bado kocha alipwaya.

Mnamtetea Ole ila kimsingi uwezo wake mdogo sana.
 
Kwamba ole hakuna game alio kua down au level first half akaja kufanya sub na kuchange formation second half akapata matokeo ?

Ama unataka nikuhesabie ?

Ya kwanza ni hii ya leo vs Westham

Watu wakiamua kukusifia wameamua tuu! ila pale EPL hakuna kocha mwenye comeback nyingi kumzidi Ole ..
Pia hakuna Sub zenye Goal involvement pale EPL zaidi ya za Ole ...

Twende na takwimu chungulia picha hapo chini

Kuhusu game changing second half na comeback sina haja ya kukuletea takwimu manaa kama unafatiliaga mechi basi unalijua hilo..

Huyu Tuchel mnae msifia aliishindwa PSG yenye Potentila kuliko United ya Ole na walikutana aka M'outclass akiwa na kina Chong na Perreira unakumbuka????
Au umekatwa kichwa ??View attachment 1945446

Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Huyu Tuchel, Rent boys watamkataa muda si mrefu!
 
Unaizungumzia swala la Bissaka kupata Kasi nyekundu ndo kuliharibu game? Yani kadi ndo ifanye Man U kupoteza kwa Team ndogo kama Young boys?

Ile game ya Chelsea na Liverpool, Chelsea alivyopigwa kadi aliyumba? Hebu fikira kwa huu uchezaji wetu tupigwe kadi tutakufa goli ngapi mbele ya Liverpool?

Kilichofelisha ile game sio kadi nyekundu, bali ni mbinu ambazo kocha ali-emply Ili kuendana na mapungufu ya wachezaji yaliyokuwa yanamkabili hapo bado kocha alipwaya.

Mnamtetea Ole ila kimsingi uwezo wake mdogo sana.
Hivi unajua tuchel alipigwa kadi nyekundu akafa 5-2 kwa Westbroom?

Matokeo unayopata baada ya kupigwa red yanategemea sana mpinzani wako anacheza vipi, na mbinu za kocha wenu kumkabili. Ole hakuwa na mbinu yoyote ya kuwakabili young boys baada ya ile kadi nyekundu.
Lakini pia kocha wa young boys alikuwa na mbinu ya kucheza na watu waliopungufu. + Lingard blunder
 
Duh! Stop being negative wazeeiya! Yule Klapp au Pepo wakikimbilia wachezaji wao, wanaonekana wana passion. Ole kafanya, anaonekana hana plan!!
Ndio wako hivyo fan wa united sjui wanateswa na nini ...kuna kocha anakimbilia wachezaji na mizuka kama Clopp ?

Kitu kingine kina kwamisha hii timu ni unafki wa mashabiki na inadadi kubwa ya plastic fan
Yani fan wengi wa Man united ni majuha in football
Mtu anakwambie Ole hana mbinu yani mtu alie Buza ana taka aone mbinu sasa kama ni mtu anambinu na unataka hadi wewe juha unatakuziona ni mbinu sasa hizo

Same useme mtu hajui kutega mitego kwakua kwa upeo wako huioni na unasifia ambao wanatega mitego na unaiona

Sifa ya mtego utege usiouone ili unase sasa kmaa juha anauona mtego ...kuna mtego hapo??

United fan kuweni realistic ..
 
Ndio wako hivyo fan wa united sjui wanateswa na nini ...kuna kocha anakimbilia wachezaji na mizuka kama Clopp ?

Kitu kingine kina kwamisha hii timu ni unafki wa mashabiki na inadadi kubwa ya plastic fan
Yani fan wengi wa Man united ni majuha in football
Mtu anakwambie Ole hana mbinu yani mtu alie Buza ana taka aone mbinu sasa kama ni mtu anambinu na unataka hadi wewe juha unatakuziona ni mbinu sasa hizo

Same useme mtu hajui kutega mitego kwakua kwa upeo wako huioni na unasifia ambao wanatega mitego na unaiona

Sifa ya mtego utege usiouone ili unase sasa kmaa juha anauona mtego ...kuna mtego hapo??

United fan kuweni realistic ..
Tutaelewana tu mwisho wa msimu, baada ya kutumiza miaka tisa bila kombe.Tunakoelekea tutakuja kuwa team yenye kuleta tu chamgamoto kwenye ligi kama zilivyo Tottenham, Arsenal, Leicester, Westham na Aston Villa.Bado kidogo tu tutatimiza miaka 15 then 20.

Plastic fan? Ni nani mjinga atakaeweza kumvumilia Ole, akiwa na kikosi kama hiki? Acha tulalamike bwana miaka tisa sio kidogo.

Nafasi za kuchukua makombe zanakuwepo ila mara zote uwezo mdogo ndo umekuwa ukintupa nje, muangalie kwenye mashindano makubwa anavyopotezwa na zingine anafika mpaka fainali ila ndohivyo anazudiwa tactics.
 
Ule msako wakurudisha bao hauna ufundi wa kocha kabisa ni juhudi za wachezaji baada ya hapo ni kurukaruka tu mpaka tunapata bao la pili....
Ndio kawaida yenu hiyo, yaan kocha kafanya tactical substitutions kabisa na kupitia hilo ushindi ukapatikana bado mnataka kumlaumu
 
Hivi unajua tuchel alipigwa kadi nyekundu akafa 5-2 kwa Westbroom?

Matokeo unayopata baada ya kupigwa red yanategemea sana mpinzani wako anacheza vipi, na mbinu za kocha wenu kumkabili. Ole hakuwa na mbinu yoyote ya kuwakabili young boys baada ya ile kadi nyekundu.
Lakini pia kocha wa young boys alikuwa na mbinu ya kucheza na watu waliopungufu. + Lingard blunder
OGS aliweza kuwakabili wale watoto na ndio maana game ilikuwa inaisha kwa droo, ila mistake ya lingard ndio ikasababisha tukafungwa, sasa hapo unampaje lawama mwalimu
 
Back
Top Bottom