Kwamba ole hakuna game alio kua down au level first half akaja kufanya sub na kuchange formation second half akapata matokeo ?
Ama unataka nikuhesabie ?
Ya kwanza ni hii ya leo vs Westham
Watu wakiamua kukusifia wameamua tuu! ila pale EPL hakuna kocha mwenye comeback nyingi kumzidi Ole ..
Pia hakuna Sub zenye Goal involvement pale EPL zaidi ya za Ole ...
Twende na takwimu chungulia picha hapo chini
Kuhusu game changing second half na comeback sina haja ya kukuletea takwimu manaa kama unafatiliaga mechi basi unalijua hilo..
Huyu Tuchel mnae msifia aliishindwa PSG yenye Potentila kuliko United ya Ole na walikutana aka M'outclass akiwa na kina Chong na Perreira unakumbuka????
Au umekatwa kichwa ??
View attachment 1945446
Sent from my TECNO CA6 using
JamiiForums mobile app