Msimu huu tutakuwa tunashinda ushindi ambao unawaacha na maswali kuwa imekuwaje?Hii game mnakalia

.Timu haichezi vizuri mkuu pamoja na ushindi.Msimu huu tutakuwa tunashinda ushindi ambao unawaacha na maswali kuwa imekuwaje?.
Na hata ivyo team ya kuchukua ubingwa inatakiwa kushinda bila kujali inashindaje with reference to 2012's season, mnabaki mnapiga kabobo wakati sie tushachukua point zetu 3.
NB: Tukilishughulikia hili swala la kocha tutafika mbali sana.
Jamaa huwa ana uchungu sana akiona team yake inafeli, kichwani mwake amejaza winning mentality.Kwa mwendo huu, bado mechi kadhaa Ronaldo atawazingua kijiwe cha ufundi.
Daaah! Kwenye maisha heshimu sana watu hujui nani atakusaidia kesho.
Mechi ya leo sitaisahau, De Gea na Lingard wanaotulazaga na viatu leo ndiyo wametupa points 3 muhimu.Mechi ya leo sitaisahau, De Gea na Lingard wanaotulazaga na viatu leo ndiyo wametupa points 3 muhimu.



Ufundi wa kocha unaupimaje au unauonajeUle msako wakurudisha bao hauna ufundi wa kocha kabisa ni juhudi za wachezaji baada ya hapo ni kurukaruka tu mpaka tunapata bao la pili....
Shida ni kocha, angalia hapo kwenye NB nimesema kabisa.Timu haichezi vizuri mkuu pamoja na ushindi.
