Hahahaha utaomba njaa hadi ije ikuume wewe mwenyewe ..usiyempenda kajaaa ..uyo city kama aston villa tu keshachezea ukuni Mara tatu bado nyie manyumbu na MNA bahati leo lukaku ajaingia nyavuni hahahahaMimi sitoacha kuwaombea njaa, Pep anafuata safari hii anarudisha heshima. Hiyo game nitaomba droo tu.
Leo tungedroo halafu mkashinda ningeumia sana, katika rivals siwapendi ni Liverpool na nyie takataka za London.
Jamaa hajui kupiga vichwa na kona zote anaomba mpira apewe yeyeThis is how it feels to be 𝗨𝗡𝗜𝗧𝗘𝗗️
️
ila Kicha kikubwa (Maguire) kazingua sana
manutd |
#GGMUView attachment 1945041
Spurs kala tatu na mpira mwingi kapigiwa msako mwanzo mwishoWakuu hawa chelsea tuwaangalie kwa jicho la tatu, wako solid sana eneo la kiungo na beki. Wanakaba na wanapanda balaa.
Man U, tunakosa uwepo wa kocha wa viwango pale nyumbani, wachezaji waziri ila hawana morali kabisa.
Ukiangakia kikosi cha Chelsea wakati wa Lampard na hiki cha TT hakina utofauti ila uchezaji umebadilika, hii inamaanisha kwamba kocha anaplay part kubwa sana kwenye ubora wa team ila Team yangu imekuwa ikichukulia easy sana swala la kocha.
Ukitaka kuamini jiulize inawezekanaje chelsea ileile ya Lampard iwe bora hivi?
Hata Arsenal ipo pale kwasababu ya kocha na sio wachezaji,hii tabia ya kutaka kuchukua malegend wa team wawe makocha inaumiza sana.
Nafikiri hata ingekuwa wewe ni kocha lazima ungefurahia kipa wako kuokoa penati kwa dakika za majeruhi kama zile.Mpira ulipoisha jinsi OGS alivyokimbilia kwa wachezaji unajua kabisa hakuwa na plan kichwani ila alisubiri miujiza kama ya leo ambayo haitokei kila wikiendi
Bado wamepoteaNimependa amani na utulivu kutoka kwa mashabiki wakimbizi.
Mmoja sasa hivi yupo bize anabana mbupu huko aliko. OllaChuga Oc
Nishasema toka jana "MTAPOTEA HUMU"
?Game ijayo nyumbu wanakutana na Aston villa....hyo game itachania mikeka watuHahahaha utaomba njaa hadi ije ikuume wewe mwenyewe ..usiyempenda kajaaa ..uyo city kama aston villa tu keshachezea ukuni Mara tatu bado nyie manyumbu na MNA bahati leo lukaku ajaingia nyavuni hahahaha

Daaah! Kwenye maisha heshimu sana watu hujui nani atakusaidia kesho.


umenifurahisha kinoma.Hawawezi kukuelewa team Ole.Wakuu hawa chelsea tuwaangalie kwa jicho la tatu, wako solid sana eneo la kiungo na beki. Wanakaba na wanapanda balaa.
Man U, tunakosa uwepo wa kocha wa viwango pale nyumbani, wachezaji waziri ila hawana morali kabisa.
Ukiangakia kikosi cha Chelsea wakati wa Lampard na hiki cha TT hakina utofauti ila uchezaji umebadilika, hii inamaanisha kwamba kocha anaplay part kubwa sana kwenye ubora wa team ila Team yangu imekuwa ikichukulia easy sana swala la kocha.
Ukitaka kuamini jiulize inawezekanaje chelsea ileile ya Lampard iwe bora hivi?
Hata Arsenal ipo pale kwasababu ya kocha na sio wachezaji,hii tabia ya kutaka kuchukua malegend wa team wawe makocha inaumiza sana.
Katupia nyavuniShabiki wa Chelsea, nawasalimia kwa jina la Thomas Tuchel.
Namuulizia Ronaldo kama yupo![]()
This is how it feels to be 𝗨𝗡𝗜𝗧𝗘𝗗️
️
ila Kicha kikubwa (Maguire) kazingua sana
manutd |
#GGMUView attachment 1945041





Aaah na wewe, Kwani mkono nao unacheza mpira?VAR decision this tym sio sahihi. Clear kabisa CR7 alizidi mkono. Mdogo mdogo mnaanza kubebwa.
1-1
Maneno ya fergie haya enzi zakeMnyama TT View attachment 1945343
"Underdog Ole" Ze dudu akiiona sms atavuta glas ya mvinyo Heineken akishushia taratiiiibu huku uso ukiwa na tabasamu mwananaMkuu team yenu imekuwa ya moto sana, midfield na backline zenu zimekuwa ni za kibabe sana, mnakaba hadi upepo.
Team yangu mimi inafelishwa na huyu underdog OLE.

Nimecheka kwa sauti kubwa sana hadi wife kashangaaa...Sema wanangu tukiendelea hivi ipo siku tutakuja kupigwa na kitu kizitoo

A.k.A mmasai olesendeka"Underdog Ole" Ze dudu akiiona sms atavuta glas ya mvinyo Heineken akishushia taratiiiibu huku uso ukiwa na tabasamu mwanana
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Tatizo la fan wa man united ni moja team inapo pata matokeo basi ni Quality ya wachezaji ila inapo enda tofauti kocha mbovu hata kama ni uzembe wa wazi wa wachezaji .Wakuu hawa chelsea tuwaangalie kwa jicho la tatu, wako solid sana eneo la kiungo na beki. Wanakaba na wanapanda balaa.
Man U, tunakosa uwepo wa kocha wa viwango pale nyumbani, wachezaji waziri ila hawana morali kabisa.
Ukiangakia kikosi cha Chelsea wakati wa Lampard na hiki cha TT hakina utofauti ila uchezaji umebadilika, hii inamaanisha kwamba kocha anaplay part kubwa sana kwenye ubora wa team ila Team yangu imekuwa ikichukulia easy sana swala la kocha.
Ukitaka kuamini jiulize inawezekanaje chelsea ileile ya Lampard iwe bora hivi?
Hata Arsenal ipo pale kwasababu ya kocha na sio wachezaji,hii tabia ya kutaka kuchukua malegend wa team wawe makocha inaumiza sana.