Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila huyo huyo sosha alimpiga manchester city 1-0 nyumbani kwake tukiwa pungufu mpira una maajabu yake goli alifunga matic na mashabiki tuna unafiki

Chelsea alikula 5 chini ya kocha TT huyu huyu nyumbani kwake baada ya kadi nyekundu yule alikuwa big sam alietoa kipigo narudia tena mpira una maajabu

Wazungu wanamsemo siku mbaya ofisini.


Simaanishi kocha mzur au kumtetea sosha ila kuna muda mbinu huwa zinagonga mwamba

Mapungufu ya timu yangu ni kiungo tu cha ukabaji hilo lipo wazi toka 2013 kuna mtu humu alinibishia sana kuhusu hilo timu nzur ikicheza angalia kiungo tu utajua timu yetu inaonesha kabisa kiungo cha ukabaji bado sana tena sana.
 
Ila huyo huyo sosha alimpiga manchester city 1-0 nyumbani kwake tukiwa pungufu mpira una maajabu yake goli alifunga matic na mashabiki tuna unafiki

Chelsea alikula 5 chini ya kocha TT huyu huyu nyumbani kwake baada ya kadi nyekundu yule alikuwa big sam alietoa kipigo narudia tena mpira una maajabu

Wazungu wanamsemo siku mbaya ofisini.


Simaanishi kocha mzur au kumtetea sosha ila kuna muda mbinu huwa zinagonga mwamba

Mapungufu ya timu yangu ni kiungo tu cha ukabaji hilo lipo wazi toka 2013 kuna mtu humu alinibishia sana kuhusu hilo timu nzur ikicheza angalia kiungo tu utajua timu yetu inaonesha kabisa kiungo cha ukabaji bado sana tena sana.
Hakuna watu wanaondeshwa na mihemuko km mashabiki wa soka,, ukitaka kuamini Hilo pitia comments zilizotumwa kabla ya mechi kuanza....
 
Twende na West Ham sasa..
C'mon Wagonga Nyundo...
Wanang wa London Westham tuko pamoja.
Kesho tuangushe jitu hapa
 
"10 points clear in the English Premier League, the City in Manchester have distanced themselves from those who claimed to be united, the title contenders have been separated from the title pretenders." Peter Drury

Huyu jamaa akiwa ana comment match za derby huwa nacheka kinomaa


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muulize Pain killer hili swali leo nina uhakika atakujibu.

Halafu nyie last season si mlimshindwa Nuno wa Wolves! Msimu huu ni Nuno wa Spurs!!!

Nawaambia mtapotea humu, kenge nyie.
Huyo Nuno angalia alikutana na kikosi gani na kocha gani mkuu ..kwa sasa kila timu inaogopa kukutana na Chelsea mkuu..
Sisi kwa sasa tunacheza KUKAMILISHA ratiba tu ..maana ubingwa tayari tushabeba kitambo tu na kila mtu adi FIFA wanajua hilo.
CFC
 
Pain killer bora usionekane humu hadi pale mtakapokuwa na uwezo wa kushinda tena Emptyhad!!!

Dk 90 hakuna shot on target halafu baadae ndiyo utaona anaongoza wakina OllaChuga Oc kuongea utumbo humu.

bado Spurs tu kushinda kesho, wote mtapotea humu, kenge nyie.
Hahahaha kwani nini kimetokea huko man Shityee ..wamepigwaaa??? Hayo matakataka usifananishe na mabingwa wa ulaya na dunia kwa ujumla mkuu ..sisi hatuchezi mpira wa mezani mkuu, sisi tunacheza mpira unaonekana uwanjani mpaka unatamani na wewe uingie ucheze ..hapo spurs hadi sasa tunaongoza 2 bila na bado ijaanzwa ..kesho mapema tunamchakaza mtu bila kumuangalia usoni yani onto kwa ninyi Manure na huyo man Shityee na takataka zote.
CFC
 
Back
Top Bottom