Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyo Nuno angalia alikutana na kikosi gani na kocha gani mkuu ..kwa sasa kila timu inaogopa kukutana na Chelsea mkuu..
Sisi kwa sasa tunacheza KUKAMILISHA ratiba tu ..maana ubingwa tayari tushabeba kitambo tu na kila mtu adi FIFA wanajua hilo.
CFC
Mimi nakwambia tu "UTAPOTEA HUMU" najua kesho the odds are against Spurs ila HAMTOKI.
 
Timu lenu Galina kocha ,...

Unapata wapi ujasiri wa kubishaana champion of England ,yaan katembeza kichapo kwa team zote za England ....

Final in CL .....!!!

Nyie united hakuna mlilobakisha zaidi ya historia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mavi ni mavi tuuu, huwezi fananisha United na "Man Shit" ni kuvunjiana heshima.
 
Kumekucha
IMG-20210918-WA0076.jpg
 
Wakuu huu SANCHOKA tumepigwa mchana kweupeee, kwann tusimchukue willian aje asaidiane na Mnyama CR7 kule mbele.
 
Back
Top Bottom