Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,022
Tunacheza ovyo sana
Tunacheza ovyo sana
Tough opponents wolves na Southampton???Sancho siyo mbovu kiasi hicho cha kumlinganisha na Traore, hii ndiyo game yake ya kwanza anaanza kikosi cha kwanza, hii mechi ukiambiwa ufanye scouting ya mchezaji wa kumnunua hata Bruno utamkataa.
Tumekutana na tough opponent, dogo bado haja-settle, slowly atakaa poa.
We are talking about winning the trophies and not breaking some shit history.Mnaomkosoa OGS huwa mnasoma haya maoniView attachment 1915318
Si ndo hicho nnachosema
- Victor lindeloff amfundishe Rafael varane kupiga pasi ndefu, sidhani kama kuna pasi ndefu aliopiga ikamfikia mlengwa.
- Aliefanikisha ushawishi wa kusajiliwa kwa wan bissaka ndani ya karne hii ya 21 kwa takribani paundi million 55 anapaswa kuchukuliwa hatua, ni rahisi kumfundisha diogo dalot kujilinda kuliko kumfundisha wan bissaka kushambulia, overlapping, kuingia ndani, kupiga krosi n.k
If Liverpool had this mentality they would never have won the EPL, CL.We are talking about winning the trophies and not breaking some shit history.
By the way team Kama man United siyo timu ya kutamba na record za ajabu hiyo, United ni team ya kutamba kwa sababu inachukua uefa, epl etc.
Wewe unaemtetea Ole inabidi ujitathmini mkuu.
Meaning no offense![]()
Hapana! Ni timu rahisi sana hizo.Tough opponents wolves na Southampton???
Next time kabla huja-comment kitu uwe na kumbukumbu vizuri jinsi timu yako ni mbovu kiasi gani.Tough opponents wolves na Southampton???
Liverpool walikuwa hawatambi na vihistoria vya ajabu Kama unavyomtetea navyo ole.If Liverpool had this mentality they would never have won the EPL, CL.
Patience key to success
Still they are not tough opponents Mzee usijifariji kihivyoHapana! Ni timu rahisi sana hizo.View attachment 1916430

mkuu hii hata sijui imekaaje...muda mfupi tu hapa nimewaza kuwa Neves, Saul na Camavinga wanapatikana kwa £35mil ambayo ni pesa ndogo haswa ukilinganisha na price tags zao huko nyuma....sijui tunashindwa nini kupull deal hata moja kati ya hao watu.bayern munich wamemsajili sabitzer kwa euro millioni 15 kwa mujibu wa vyanzo tofauti, sisi huku kwetu tunateseka na midfield ya fred, mctominay na matic.
wakati huo huo tayari bavarian wana huduma ya joshua kimmich, goretzka pamoja na tolisso ambaye yupo sokoni.
PTER ndoto yako imeshafelishwa na watu walio serious
Amad taarifa zinasema amepata thigh injury na atakuwa nje kwa wiki sita..alikuwa anakaribia kusajiliwa kwa mkopo Feyernood ya Netherland..So deal limekufa na atabaki United.huku donny kule amad, taathira za dirisha lililopita
View attachment 1916638
Mkuu Daemushin umemsikia Marama akiendeleza kile anachoamini kuwa ni ubovu wa structure/shape ya timu kuanzisha,kuendeleza na kutengeneza nafasi ?hizi takataka tumezilea sana, natumai huyu dogo atapata kocha sahihi wa kumtengeneza
View attachment 1916634
Kama sijakosea,hii nnafasi imewekwa makusudi kabisa kwa ajili ya Declan Rice msimu ujao wa 2022/23mkuu hii hata sijui imekaaje...muda mfupi tu hapa nimewaza kuwa Neves, Saul na Camavinga wanapatikana kwa £35mil ambayo ni pesa ndogo haswa ukilinganisha na price tags zao huko nyuma....sijui tunashindwa nini kupull deal hata moja kati ya hao watu.