Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Huyo Kane kashindwa nini kuwapa hao Waingereza Euro iliyoisha?..jamaa ni mpumbavu, harry kane hafikii daraja la CR7
Baadhi ya Waingereza wana utaifa mbaya sana wapuuzi hawa
Huyo Kane kashindwa nini kuwapa hao Waingereza Euro iliyoisha?..jamaa ni mpumbavu, harry kane hafikii daraja la CR7
kuna mmoja anaitwa graeme souness, kwake yeye man utd haina jemaHuyo Kane kashindwa nini kuwapa hao Waingereza Euro iliyoisha?..
Baadhi ya Waingereza wana utaifa mbaya sana wapuuzi hawa
Huyu wa Rooney keshakuwa kipofu kabla hata hajaanza kucheza mpira wenyewe.Ikiwa mchezaji atafunga magoli 50 kwa kila msimu kwa miaka 15 mfululizo atafikisha magoli 750, takwimu hizo hazitomfanya mchezaji huyo alingane na CR7 kwa ufungaji wa magoli ambaye mpaka muda huu ameshafunga magoli 787.
View attachment 1936299
pichani: ronaldo + rooney + matic
Forgotten anasema si mtoto wa rooneyHuyu wa Rooney keshakuwa kipofu kabla hata hajaanza kucheza mpira wenyewe.
Kai Rooney huyu hapa ndiyo anacheza group moja na Cristiano Ronaldo Jr.Huyu wa Rooney keshakuwa kipofu kabla hata hajaanza kucheza mpira wenyewe.
Ukocha wenyewe alishindwa, niwakumhurumia tukuna mmoja anaitwa graeme souness, kwake yeye man utd haina jema
Umepaniki brotherNi heri kuwa kundi moja na Young Boys walioishia nusu fainali ya UCL na hawana tofauti na nyie mliofika fainali.
Kundi limejaa vitimu vya ajabu-ajabu, kimoja hapo eti kimeanzishwa 2009. Kundi limejaa mabingwa wa kufeli, mnafika fainali shughuli imeisha. PSG, Man. City na Club Brugge wote ni bottlers.View attachment 1936225



Umepaniki brother
Man utd ilikuwa zamani ndugu ,kwa sasa United hamuwezi kukaa meza moja na city ,nyie ni vilaza tu ..,.....
Soon manenda kucheza Europa tena
Hakuna namna nyingine
Bro samahani kwani mna Uefa ngapi aiseh?Umepaniki brother
Man utd ilikuwa zamani ndugu ,kwa sasa United hamuwezi kukaa meza moja na city ,nyie ni vilaza tu ..,.....
Soon manenda kucheza Europa tena
Hakuna namna nyingine
SidhaniUnaongelea mashabiki wapi wa jamii forum au duniani?
Kwa duniani the BLUES ina mashabiki wengi kuliko arse8.
Mzaa ktk mechi km hizi umekuwa ukitu-cost. Weka full mkoko, mkipata matokeo mapema, mnapumzisha key playersMY STARTING XI vs YOUNG BOYS JUMANNE..
========
De Gea
AWB Varane Lindelof Telles
Fred van de BEEK
Sancho Fernandes Lingard
Ronaldo
=======
Young boys ni wakata majani tu,sioni ni kwanini tusishinde kwao kwa kutumia hicho kikosi..Tuna tough game na Westham,tuwe tunafanya rotation zenye akili ili kila mechi tuwe na uwezo wa kuchagua kikosi kinachoweza kutupa matokeo.
Huyo ni Rooney kweli ?Huyu wa Rooney keshakuwa kipofu kabla hata hajaanza kucheza mpira wenyewe.
Anafunga magoli huyu mtoto kama katumwa na kijiji.Kai Rooney huyu hapa ndiyo anacheza group moja na Cristiano Ronaldo Jr.View attachment 1936315
Tusuburie msimu utasemaMkuu huna hata haja ya kusema hivyo, mana mpk hapo ni km kumkosea heshima mnyama.
Mkuu Daemushin nasubiri bandiko lako kuhusu performance yetu ya jana na impact ya CR7 kwenye kikosi chetu,nafasi ya Rashford kwenye kikosi cha kwanza endapo Sancho atakuwa form na uwezekano wa Cavani kucheza sambamba na Cr7 na timu kuwa imara kila idara.
?..?
Mkuu Daemushin nasubiri bandiko lako kuhusu performance yetu ya jana na impact ya CR7 kwenye kikosi chetu,nafasi ya Rashford kwenye kikosi cha kwanza endapo Sancho atakuwa form na uwezekano wa Cavani kucheza sambamba na Cr7 na timu kuwa imara kila idara.
Hii iko poa sana ila li Telles defensively liko hovyo sana kama Brandon tuhii Piah?..?View attachment 1936594