Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We beg you, you wont take penalties

#Joke
manutd |
#GGMU
IMG_20210909_142145_958.jpg
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Fuentte
 
Lol! Antonio asilimia 50! Nina wasiwasi kama CR7 atacheza, na vile raia wamemnunua kwa fujo watalia na kusaga meno. Huyo Gray watu wanamnunua ili ku balance mahesabu.
Hahahah! Kama vile umepitia kikosi changu. Gray ana-balance mahesabu, pia form yake inaridhisha. Ila nshaanza kuona dalili za kuumia maana RONALDO kama vile hataanza halafu nimetumia Wildcard na kutoa watu kadhaa kama SON, INGS na TONEY ilimradi CR7 akae kwenye kikosi.
Screenshot_20210909-083945.jpg
 
Son ungemuacha, Bruno ndio alifaa kuuza ili ufanye usajili wa cr7. Hiyo chip ya wildcard mbona mapema hivyo? Huyo Torres hamna kitu wiki hii, ongeza straika Lukaku
Hahahah! Kama vile umepitia kikosi changu. Gray ana-balance mahesabu, pia form yake inaridhisha. Ila nshaanza kuona dalili za kuumia maana RONALDO kama vile hataanza halafu nimetumia Wildcard na kutoa watu kadhaa kama SON, INGS na TONEY ilimradi CR7 akae kwenye kikosi.View attachment 1930586
 
Hahahah! Kama vile umepitia kikosi changu. Gray ana-balance mahesabu, pia form yake inaridhisha. Ila nshaanza kuona dalili za kuumia maana RONALDO kama vile hataanza halafu nimetumia Wildcard na kutoa watu kadhaa kama SON, INGS na TONEY ilimradi CR7 akae kwenye kikosi.View attachment 1930586
ushauri wangu mtoe ronaldo ucaptain maana ni mawili ulie sana asipoanza au ufurahi sana akianza
 
Back
Top Bottom