kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Evra aliipenda sana Man U! He is among our true legends!
Evra aliipenda sana Man U! He is among our true legends!



unaambiwa bruno fernandez na phil jones walikuwa hawajawahi kuonana hata kwenye kiwanja cha mazoezi, jones anarudi kitandani huku upande wa pili ndio klabu inafanya mchakato wa kumsajili bruno, hiyo ilikuwa ni January 2020.
heshima kwake legendary phil jones a.k.a franco baresi wa England.
Huyu jamaa anaipenda sana hii timuEvra aliipenda sana Man U! He is among our true legends!
We jamaa kuna wakati unaandika vitu vya ajabu. Toka lini mchezaji akapewa hela ili kuachia namba ya jezi.Cavani atakuwa amepewa mshiko wa nguvu mpaka akaamua kumuachia Ronaldo hiyo namba 7
Hata mimi ningefanya hivyo hivyo
Picha la kutisha![]()
Hapo anamwambia "skia kijana nakuachia hii timu utajua wewe ufanye nini"Hiv hapo OLE Sendeka anamwambia nn sasa?
Kama kawa.Oya CR7 mechi ijayo ataanza?
Hapo anamwambia "skia kijana nakuachia hii timu utajua wewe ufanye nini"
Kama kawa.
We jamaa bhn huwa unanchekesha snUsije ukanichomesha mahindi. Ngoja nisubr Ijumaa kupata uthibitisho kutoka kwa ole Sendeka







lete code ya ligi yenu nije niwaonyeshe Kazi