Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
Tetesi 28M tumesajili 15m kama sijakosea, Faida za Dof hizi, mwaka huu nimefurahi sana usajili na namna wanavyokomaa uuzaji.Daniel james to leeds united. Here we go
Tetesi 28M tumesajili 15m kama sijakosea, Faida za Dof hizi, mwaka huu nimefurahi sana usajili na namna wanavyokomaa uuzaji.Daniel james to leeds united. Here we go
Lindelof tutamkumbuka kuisaidia timu yetu kufanya build up kuanzia nyuma.
- Victor lindeloff amfundishe Rafael varane kupiga pasi ndefu, sidhani kama kuna pasi ndefu aliopiga ikamfikia mlengwa.
- Aliefanikisha ushawishi wa kusajiliwa kwa wan bissaka ndani ya karne hii ya 21 kwa takribani paundi million 55 anapaswa kuchukuliwa hatua, ni rahisi kumfundisha diogo dalot kujilinda kuliko kumfundisha wan bissaka kushambulia, overlapping, kuingia ndani, kupiga krosi n.k
Wakati tunateseka msimu wa 2019/2020.bayern munich wamemsajili sabitzer kwa euro millioni 15 kwa mujibu wa vyanzo tofauti, sisi huku kwetu tunateseka na midfield ya fred, mctominay na matic.
wakati huo huo tayari bavarian wana huduma ya joshua kimmich, goretzka pamoja na tolisso ambaye yupo sokoni.
PTER ndoto yako imeshafelishwa na watu walio serious
Mkuu si ajabu baada ya miaka 2 tukaanza kumfukuzia Chiesa aje azibe hilo pengo la kulia.....Watu walisema Sancho ni tiba ya upande wa kulia.
Mkuu posts zako za nyuma ulihitaji sana usajili wa Wan Bissaka na Jadon Sancho iweje umpime kwa mechi moja tu ?Mkuu si ajabu baada ya miaka 2 tukaanza kumfukuzia Chiesa aje azibe hilo pengo la kulia.....
Mimi naona tujenge kali sana hata hiyo hoja ya sijui namba 7 itakuwa hamna maana tutakuwa tunazibuana madhaifu.....au greenwood azoeshwe tu huo upande maana Sancho bado sana
"If football remain like this Sancho will be loaned next season ." #MUFC
utakapoamka huu ujumbe unakuhusu, msimu uliopita declan rice alizidiwa kwa kila kitu na fred.Kwa kumuweka kama potential untouched signing Kumbe Declan rice ni mzuri kuliko Ndidi na Calvin Philips?
#MUFC #LUFCDaniel James to Leeds from Manchester United, done deal now confirmed and here we go! The agreement has been completed for €28m with add ons. Personal terms agreed few minutes ago too. " data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft6e%2F1%2F16%2F1f534.png&hash=00b87179c3065a4c2ccbb049d0eeff02" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1">" data-src="/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-p3-static.xx.fbcdn.net%2Fimages%2Femoji.php%2Fv9%2Ft64%2F1%2F16%2F1f91d.png&hash=913dd775f715f470e42c1ddff13ca28e" data-type="image" data-lb-sidebar-href="" data-lb-caption-extra-html="" data-single-image="1">" title="
" width="" height="" />
" title="
" width="" height="" />
Medical tomorrow morning, official announcement soon.
![]()


Hilo kolo Lingard ni kwamba tulitaka kuliuza, tatizo west ham wanaleta habari za kujiangusha kama As Roma kisa mjomba tajiri.hii nafasi tutakuja kuijutia huko mbeleni kwa sababu simuoni lingard akiingia kwenye kikosi cha kwanza.
either lingard or donny van de beek mmoja wapo alipaswa auzwe ili kuweka balance ya kikosi kwa sababu wote hao wawili Ole ameshashindwa kuwaingiza kwenye mfumo rasmi wa kiuchezaji wa kila wiki.
ngoja tuisubirie leo siku ya mwisho ya usajili itakuwaje
View attachment 1917303
Siyo hawana heshima bali wanaleta habari za mjomba tajiri. Wacha Lingard abaki wapuuzi hao.View attachment 1917313
kurt zouma wamlipie paundi millioni 30 pia wanataka kumsajili tagliafico
eti lingard aliyewafungia magoli 9 tuwape kwa mkopo.
kwa hali hii ni bora lingard abakishwe, yaonekana west ham hawana heshima dhidi yetu
Yalisemwa humu.
Jesse Lingard shida ni nini?..mbona hatujaweza kuvuta mkwanja?.Tetesi 28M tumesajili 15m kama sijakosea, Faida za Dof hizi, mwaka huu nimefurahi sana usajili na namna wanavyokomaa uuzaji.
Fred amejichokea vibaya mno..na McTominay or Matic can't be a solution..Probably Fred amechoka sana na Copa America misimu miwili iliyopita hakuwa hovyo namna hii nachokiona sasa hivi hayuko form kabisa na kibaya zaidi partnership yake na Paul Pogba haijawahi kuzaa matunda