OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
"Sasa kama timu yenyewe ni matakataka kwa nini msilee takataka? Unajua takataka haikai sehemu safi au sahihi ..inakaa sehemu za ovyo kama jalalani, chooni, dampo hivyo hii timu ni takataka tosha mkuu. Hata fans wake ni takataka tupu.."hizi takataka tumezilea sana, natumai huyu dogo atapata kocha sahihi wa kumtengeneza
View attachment 1916634
Alisikika mtaalamu mmoja.
