Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hizo damu changa ndy zimetufiksha hapa.
Kwa miaka yote.

Cavan ni Mzee na hajapata game time nyingi.
Lakini amefunga magoli Mengi kuliko rashford na martial.
Sasa ujana wao utasaidia nn?
Upande mwingine zimetufelisha sana damchanga kidogo van persie mdogo(greenwood Mason) amekiwasha kwelkwl
 
Hongereni wadau kwa kulipamba jukwaa!! Hope wote humu mko poa,CR7 karibu tena nyumbani.
#GGMU
Nilichungulia jukwaa la wapinzani wa man u EPL..

ni vilio vitupu..na mayowe yalisikika.

Wengine wamekwenda mbali zaidi wanasema CR 7 atatusumbuwa sna EPL.

wengine wakimlaumu Giudiola kwa.kushindwa kufanikisha kumchukuwa CR 7..

nikashangaa sn yaani timu kama arsenal,chelsea,liverpool zinaona bora CR 7/ angeenda man city kuliko CR7 kuja man u..
 
Ronaldo alikuwa ameshakubali kulipwa £270,000/= per week city ,kwan alikuwa amekubali project ya city ....


Lakini nyie nyumbu from no where bila hata kufikilia mna mpango gani ,wivu ,chuki na kisebengo kinawawasha mmeamua kumpa ronaldo £480,000/= per week ,then mnasema anaipenda united .....

Wakati mmeamua kumpa mkwanja mrefu kikongwe wa miaka 36 ....


Yaan huu usajili unaenda kubuma ....

Eeeeeh Mungu nisaidie .......
 
Ronaldo alikuwa ameshakubali kulipwa £270,000/= per week city ,kwan alikuwa amekubali project ya city ....


Lakini nyie nyumbu from no where bila hata kufikilia mna mpango gani ,wivu ,chuki na kisebengo kinawawasha mmeamua kumpa ronaldo £480,000/= per week ,then mnasema anaipenda united .....

Wakati mmeamua kumpa mkwanja mrefu kikongwe wa miaka 36 ....


Yaan huu usajili unaenda kubuma ....

Eeeeeh Mungu nisaidie .......
City hawakuwahi hata kutoa proposal mzee acha kudanganya watu...

Man united kumpa Ronaldo hata milion wewe unaumia nini nawewe tafuta leged wako wa miaka 36 umpe kama unaona tunafaidi
 
Nilichungulia jukwaa la wapinzani wa man u EPL..

ni vilio vitupu..na mayowe yalisikika.

Wengine wamekwenda mbali zaidi wanasema CR 7 atatusumbuwa sna EPL.

wengine wakimlaumu Giudiola kwa.kushindwa kufanikisha kumchukuwa CR 7..

nikashangaa sn yaani timu kama arsenal,chelsea,liverpool zinaona bora CR 7/ angeenda man city kuliko CR7 kuja man u..
Ni roho mbaya tuuuu
 
Mkuu,,,kwa kiungo wa ulinzi sio shida sn kwa sasa.

Tutacheza 4 -4--2..

Cr 7 na cavani 9.

Wote watakuwa up front.


Ni wao timu pinzani wanapaswa kujilinda na sio man u..

Man u ni attack ,,attack..

Martial anapaswa akabidhi no CVN 9 kwa cavani...

Ronaldo apewe CR7..

Pogba na Bruno wanacheza kati..
Mkuu posts zako za nyuma zote unataka tusajili DM wa uhakika leo imekuwaje DM asihitajike ?
 
1630140226680.png
 
Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale

Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi

Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena

Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Tumekuelewa mama Ronaldo
 
Back
Top Bottom