Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Sawa kwahiyo bwana Smith rowe kuingia mapambano ya 50/50 yamewasaudia mfike wapi ndugu??Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale
Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi
Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena
Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Pia martineli mwenye ufanisi amewasaidia mshike namba ngapi msimu uliopita?


