Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale

Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi

Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena

Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Sawa kwahiyo bwana Smith rowe kuingia mapambano ya 50/50 yamewasaudia mfike wapi ndugu??

Pia martineli mwenye ufanisi amewasaidia mshike namba ngapi msimu uliopita?
 
Mkuu posts zako za nyuma zote unataka tusajili DM wa uhakika leo imekuwaje DM asihitajike ?
Mpango wa Ronaldo ni plan B.
Ule mfumo wa mwanzo wa ole ilikuwa ni lazima apate DM.
Ili tuwe attacks zaidi.

Kwa sasa tuna Ronaldo unadhani DM wa nn? .

tukiwa na DM mkali tunapaswa tucheze 4--3--3.

tukiwa na Ronaldo tunacheza 4--4--2..

Wenye timu wameamua bora Ronaldo.. Kuliko DM..

muhimu ni the strongest man u..

Ukiwa na attackers wakali mbele unawalazimisha wao kujilinda..hakuna haja ya DM.
 
Mpango wa Ronaldo ni plan B.
Ule mfumo wa mwanzo wa ole ilikuwa ni lazima apate DM.
Ili tuwe attacks zaidi.

Kwa sasa tuna Ronaldo unadhani DM wa nn? .

tukiwa na DM mkali tunapaswa tucheze 4--3--3.

tukiwa na Ronaldo tunacheza 4--4--2..

Wenye timu wameamua bora Ronaldo.. Kuliko DM..

muhimu ni the strongest man u..

Ukiwa na attackers wakali mbele unawalazimisha wao kujilinda..hakuna haja ya DM.
Hata sasa hivi timu zinazocheza na Man united zinajilinda kwa low block.

Timu yoyote inayofunguka mbele ya United ya Solkjaer inafungwa hivi huwa hujiulizi kwanini Ole anamnyanyasa Guardiola na Marcelo Bielsa ?


Nilichogundua timu yetu tunayatazama mapungufu yetu kwa angle ya individual players alone.

Mechi yetu na Southampton ilireveal kitu tofauti kabisa na ukosefu wa wachezaji fulani fulani.
 
Hata sasa hivi timu zinazocheza na Man united zinajilinda kwa low block.

Timu yoyote inayofunguka mbele ya United ya Solkjaer inafungwa hivi huwa hujiulizi kwanini Ole anamnyanyasa Guardiola na Marcelo Bielsa ?


Nilichogundua timu yetu tunayatazama mapungufu yetu kwa angle ya individual players alone.

Mechi yetu na Southampton ilireveal kitu tofauti kabisa na ukosefu wa wachezaji fulani fulani.
Hakika mkuu,,

Lakini tukienda na Ronaldo na cavani kwa pamoja itakuwa hatari na nusu.

Utawezaje kuzuia mvua na mwamvuli wa chandarua?
 
Ronaldo alikuwa ameshakubali kulipwa £270,000/= per week city ,kwan alikuwa amekubali project ya city ....


Lakini nyie nyumbu from no where bila hata kufikilia mna mpango gani ,wivu ,chuki na kisebengo kinawawasha mmeamua kumpa ronaldo £480,000/= per week ,then mnasema anaipenda united .....

Wakati mmeamua kumpa mkwanja mrefu kikongwe wa miaka 36 ....


Yaan huu usajili unaenda kubuma ....

Eeeeeh Mungu nisaidie .......
Mkuu kama chakula cha moto kunywa maji,,upoze koo.

Unateseka bure.
 
Kuna wachezaj mishahara yao inajilipa yenyewe hilo tambua yule sio phil jones kuhofia ronaldo hawez kutupa tunachotaka ni matumizi nabaya ya akili ronaldo kaipa kila kitu ile timu ujio wa ronaldo ni kuinua morali ya timu kwa wachezaj chipukiz na pia yule ni best player wa manchester united wa muda wote kumkataa aende city ungekuwa upuuzi na dharau
Jez ya ronaldo sokon inaweza kulipa mshahara wake bila club kuingia hasara

Manchester united ilikuwa na sura nyingi mpya ujio wa wenye timu kuna faida kubwa sana.
Sawa mkuu, mpeni basi jezi yake maarufu no. 7 na huyo Cavani sijui mtamuweka wapi au mtamtoa mkopo
 
Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale

Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi

Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena

Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Ronaldo bado anaona goli mkuu, takwimu zinamtetea sana
Alichopunguza Ronaldo ni kucheza kwenye pressure, hawezi tena. Magoli mengi anafunga kwenye open play. Pia yale magoli ya vichwa ya kunatisha na kufyatua kama kombora hana uwezo huo tena
Muhimu bado anaona goli sio kama Rashford, Martial, hata Cavani hamkuti labda Bruno Fernandes mgweno mwenzake tu ndie anayemkuta
 
Chelsea signs Kante from Leicester
Went ahead to buy Maguire from Leicester

Chelsea signs Pulisic from Dortmund
Went ahead to buy Sancho from Dortmund

Chelsea signs Ziyech from Ajax
Went ahead to buy Van De Beek from Ajax

Chelsea signs Thiago Silva from PSG
Went ahead to buy Cavani from PSG

Chelsea recalls former player, Lukaku from Serie A
Also went ahead to recall former player, Ronaldo from Serie A

Will do absolutely everything to be Chelsea, but can never be Chelsea

My brother, when you're big, you're big 🙄🙄
 
Cristiano Ronaldo vs Chelsea:

15 games played
6 L’s
4 Draws
1 goal scored

We aren't afraid, he's been Pocketed from 2003-2009 😂 🙃😌
The mission continues 😜💙👏
 
Chelsea signs Kante from Leicester
Went ahead to buy Maguire from Leicester

Chelsea signs Pulisic from Dortmund
Went ahead to buy Sancho from Dortmund

Chelsea signs Ziyech from Ajax
Went ahead to buy Van De Beek from Ajax

Chelsea signs Thiago Silva from PSG
Went ahead to buy Cavani from PSG

Chelsea recalls former player, Lukaku from Serie A
Also went ahead to recall former player, Ronaldo from Serie A

Will do absolutely everything to be Chelsea, but can never be Chelsea

My brother, when you're big, you're big
Chelsea is big now
 
Nilichungulia jukwaa la wapinzani wa man u EPL..

ni vilio vitupu..na mayowe yalisikika.

Wengine wamekwenda mbali zaidi wanasema CR 7 atatusumbuwa sna EPL.

wengine wakimlaumu Giudiola kwa.kushindwa kufanikisha kumchukuwa CR 7..

nikashangaa sn yaani timu kama arsenal,chelsea,liverpool zinaona bora CR 7/ angeenda man city kuliko CR7 kuja man u..
Hahahhahaah wanajua patawaka !!!
 
Misimu mitano sasa; Ole anazidiwa ata na Arteta na kikombe. Nahisi Ole kuna sehemu anachawia ili aaminiwe kua anajenga timu.
 
Chelsea signs Kante from Leicester
Went ahead to buy Maguire from Leicester

Chelsea signs Pulisic from Dortmund
Went ahead to buy Sancho from Dortmund

Chelsea signs Ziyech from Ajax
Went ahead to buy Van De Beek from Ajax

Chelsea signs Thiago Silva from PSG
Went ahead to buy Cavani from PSG

Chelsea recalls former player, Lukaku from Serie A
Also went ahead to recall former player, Ronaldo from Serie A

Will do absolutely everything to be Chelsea, but can never be Chelsea

My brother, when you're big, you're big
Kwahiyo manchester united walimnunua Cavani toka PSG unauhakika?
 
Back
Top Bottom