Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tutakwenda na 4-4--2..

CR7 ...cavani 9


Rashford... Pogba Bruno. Sancho.

Shaw,magwea,varane bisaka.

Tutaachana na DM..

Kama ole yupo serious na makombe,..
Asee ole akienda na formation hii magoli mengi sana tutapata maana mbele kuna goal mashine tupu apo akitoka cavan anaingia greenwood safi sana
 
Mwenye penalty zake karejea, inabidi Bruno ajifunze kufunga magoli ya aina nyingine.
Sawa ataongeza juhudi
Screenshot_20210828_094751.jpg
 
Asee ole akienda na formation hii magoli mengi sana tutapata maana mbele kuna goal mashine tupu apo akitoka cavan anaingia greenwood safi sana
Cavan hatoki,,ila kati ya Sancho na rashford ndy watakaobadilishana namba na green Wood.

Mbele inakuwa

Sancho/rashford kishoto..

Kulia green wood.

Cavan na Ronaldo wanasimama mbele ..
Hapo timu pinzani wataamua kupaki basi au wapaki Lori kabisa..

Ronaldo na Cavan huwezi kuwatoa ili
Waendelee kuwajambisha pale mbele...
 
Huu usajili japo mzuri ila ni wa Kudandia
Man City walishajitoa ndio ninyi mkaingia
Man u hamkusahau dandia dandia kama hizi huko nyuma iliwacost
Sanchez alikuwa aende Man city ninyi mkapiku
Lukaku alikuwa aje Chelsea ninyi mkapiku

Cristiano Ronaldo katika umri huu bado anao uwezo mkubwa sana japo umeshuka sana
Swali ni je mlimuhitaji, jibu hapana, angekuwa Ronaldo ni mdogo wa miaka 20-25 tungesema alihitajika kwa ujenzi wa timu wa muda mrefu
Pamoaj na kuwa CR7 hakuhitaji je bado atawafaa, jibu ni yes, bado Ronaldo ana uwezo wa kufunga goli 20 kitu ambayo hakuna winga hata mmoja wa sasa mwenye uwezo huo
Madhara yake makubwa ni overload ya mshahara
Kuna wachezaj mishahara yao inajilipa yenyewe hilo tambua yule sio phil jones kuhofia ronaldo hawez kutupa tunachotaka ni matumizi nabaya ya akili ronaldo kaipa kila kitu ile timu ujio wa ronaldo ni kuinua morali ya timu kwa wachezaj chipukiz na pia yule ni best player wa manchester united wa muda wote kumkataa aende city ungekuwa upuuzi na dharau
Jez ya ronaldo sokon inaweza kulipa mshahara wake bila club kuingia hasara

Manchester united ilikuwa na sura nyingi mpya ujio wa wenye timu kuna faida kubwa sana.
 
Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale

Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi

Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena

Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Hata akiwa kinda hakuwahi kuwa mkabaji pale united kazi kubwa ilifanywa na rooney,scholes na carick
 
Huu usajili wa ronaldo haikuwa plan ya ole ....na ole hatakuwa na uwezo wa kumtumia CR 7 ....


Muda utasema
Hyo ni plan ya Ferguson..
Ambaye ndy Mwalimu wa ole.

Tunakwenda na 4 -4- 2..

Ronaldo kurudi ni bora kuliko kununuwa DM...

labda ole asiwatumie wote kwa pamoja.
Aendelee na akina sunche(fed) na kapeto(Mac Tommy) 4-2-3-1
 
Sasa hivi tukitaka mchezaji ni simu moja tu hata yule Mbappe si idol wake tunaye tukimuita anasahau ndoto zake za kwenda Los Blancos.

Next season kituo cha kwanza ni Germany, Dortmund watupe mtu wetu. Kwa influence ya Sancho na Solskjaer na muundo wa kikosi chetu lolote linaweza kutokea.
Mbona kama unateseka mkuu
 
Kitu kikubwa ninachokitegemea ni kuwa vichezaji uchwara vilivyoshindwa kufanya mambo sasa vitaanza kuisoma namba na kuondoka..

It's high time kwa Ole kumwambia Martial hivi;

"Bwana mdogo si unaona mambo hayo ya CR7?,fanya kuondoka mapema tu"..

Same thing kwa James.

Rashford naye aambiwe his game time can only be secured kwa yeye kuperform consistently..mambo ya yeye kucheza kila siku huku akicheza ushubwada yameisha.

Na Ole aelewe kuwa ana kikosi bora kabisa cha kushinda kila kitu ulaya..no more excuses.


======

Henderson

Varane Maguire Shaw

Sancho Fred Fernandes Pogba

Rashford Cavani Ronaldo

========

Henderson

AWB Varane Maguire Shaw

Fernandes Fred Pogba

Greenwood Cavani Ronaldo

=========

GGMU
Tulifika pabaya sana, eti ka Trashford kalikuwa kanajiona ka star, sasa the real star has come kaache upumbavu.
 
Mmesajiri jina (brand) lakini hakuna mchezaji sasa hivi pale

Ufanisi wake ulikua Madrid , ata kule juve hakufanya la maana zaidi ya watu hadi wakakosa kombe la ligi

Sasa hivi hakabi, yeye anakimbia na move tu
Muoga sana kuingia zile 50-50, anajua akipata majerui makubwa ndio basi tena

Haya mapambio ya mwanzo ila baada ya x-mass au 2022 kabisa tutaimba nyimbo ya aina moja
Tumeyapokea malalamiko yako tupo kwenye mchakato tutayafanyia kazi.
 
Ole akienda na 4-4-2.

Mashabiki wa man tunatembea kifua mbele.

Kwanza ikitokea man u imepata corner ujuwe ni sawa na penalt kwa man u ya sasa.

--Ronaldo mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Cavani mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Varane mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Magwea mzuri kwa magoli ya vichwa..

Sasa utamzuia nani? Asikufunge kwa kichwa?
 
Ole akienda na 4-4-2.

Mashabiki wa man tutatembea kifua mbele...

Kwanza ikitokea man u imepata corner ujuwe ni sawa na penalt kwa man u ya sasa.

--Ronaldo mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Cavani mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Varane mzuri kwa magoli ya vichwa.
--Magwea mzuri kwa magoli ya vichwa..

Sasa utamzuia nani? Asikufunge kwa kichwa?
 
Cavan hatoki,,ila kati ya Sancho na rashford ndy watakaobadilishana namba na green Wood.

Mbele inakuwa

Sancho/rashford kishoto..

Kulia green wood.

Cavan na Ronaldo wanasimama mbele ..
Hapo timu pinzani wataamua kupaki basi au wapaki Lori kabisa..

Ronaldo na Cavan huwezi kuwatoa ili
Waendelee kuwajambisha pale mbele...
Wale wakongwe sometime itabidi kwenye dk za jion wanapisha dam changa ziende kujiuliza je nlipaswa nipishwe au??
 
Back
Top Bottom