Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jombaa, Ktk dirisha tulilowahi kufanya vizuri basi hili lipo very strategic nina uhakika Cristiano Ronaldo tumemchukua ili kuongeza hali kujiamini kikosini.

Vichezaji vya hovyo sasa ni muda muafaka kufagia nyumba. Tunataka heshima yetu irejee tumevivumilia sana vichezaji vya hovyo.

Pale mbele Ed, Cristiano, Mason na Bruno wengine wote waji-prove kwa nini wapewe nafasi.

Furaha niliyonayo hapa haina kifani. Ni kweli tunahitaji kiungo wa ulinzi ila bado tulihitaji mtu mbele aliye serious ili aje kutusaidia kuondoa vichezaji vya hovyo tulivyovijaza pale.
Sure.
 
Mkuu tuwe tunasoma alama za nyakati, pale Utd hata angekuja nani bado tungesema kuna eneo linapwaya, co kwamba hatuna wachezaji bali tumepoteza ari na bahati, acha aje CR7 arudishe kujituma kwenye timu cz wachezaji wazembe na wavivu wataanza kujituma hata mazoezini mana hawatojisikia vzr mzee kuwazidi ktk kufanya mazoezi.
Umetema cheche ya moyoni mwangu Jombaa. Ronaldo kaja kuleta hali ya kujiamini na kujituma kikosini. Pia, Cristiano atasaidia vichezaji vya hovyo hovyo vitupishe tujenge timu kwa utulivu Anthony Martial, Daniel James, Marcus Rashford wakae mguu sawa hatutaki mzaha na mchezo.
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Nonsense
 
Umetema cheche ya moyoni mwangu Jombaa. Ronaldo kaja kuleta hali ya kujiamini na kujituma kikosini. Pia, Cristiano atasaidia vichezaji vya hovyo hovyo vitupishe tujenge timu kwa utulivu Anthony Martial, Daniel James, Marcus Rashford wakae mguu sawa hatutaki mzaha na mchezo.
Yani tukae hapa kupeana moyo tatizo ni DM, mwaka jana tuliimba wimbo wa tatizo ni wing ya kulia, haya wing ya kulia imekuja tumeanza wimbo wa DM wkt tuna Fred, tuna Tommy n.k, tatizo ni kiongozi tulikosa, Bruno ni kiongozi ila hatoshi kwa ss, tulimhitaji CR7 au Messi kuliko kima yyte yule duniani kwa sasa.
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Cr7 anaweza kupa magoli 20+ ambayo wachezaji wengi pale utd hawawezi kukupa.

Story za DM, Full Back, Striker, tumeshazichoka. Kila msimu tuaweka eneo la kulifanyia kazi.

Wanasajili still hakuna improvement yeyote.
 
Hata mauzo ya jezi watakusaidia.
Umeona impact ya director of football? Jamaa yupo serious, strategic and very fast. Naamini huyu jamaa anaweza kusuka timu imara sana ndani ya hii misimu miwili. Kwa mara ya kwanza tumeingia sokoni tukiwa serious sana toka aondoke David Gill.

Techically, ukiangalia kwa umakini Ed Cavani anamaliza mkataba wake mwakani kama tunawasha moto msimu huu ili u-maintain momentum ya timu unahitaji repalacement makini. Nafasi ya mchezaji kama Cristiano au Lionel ikijileta hulazi damu, ni aina ya mchezaji ambaye hukosi goli 15 za EPL na goli 7 za UEFA kutoka kwao.
 
Umeona impact ya director of football? Jamaa yupo serious, strategic and very fast. Naamini huyu jamaa anaweza kusuka timu imara sana ndani ya hii misimu miwili. Kwa mara ya kwanza tumeingia sokoni tukiwa serious sana toka aondoke David Gill.

Techically, ukiangalia kwa umakini Ed Cavani anamaliza mkataba wake mwakani kama tunawasha moto msimu huu ili u-maintain momentum ya timu unahitaji repalacement makini. Nafasi ya mchezaji kama Cristiano au Lionel ikijileta hulazi damu, ni aina ya mchezaji ambaye hukosi goli 15 za EPL na goli 7 za UEFA kutoka kwao.
Ila hii ilikuwa obvious sana.

Kwanza cr7 ni zao la utd na anaipanda united na anapendwa na mashabiki wa united. Kuja kwake kulikuwa sawa na kumsukuma mlevi.

Hata Leonel Messi angeletwa tu.

Walete uzoefu wao.
 
Cr7 anaweza kupa magoli 20+ ambayo wachezaji wengi pale utd hawawezi kukupa.

Story za DM, Full Back, Striker, tumeshazichoka. Kila msimu tuaweka eneo la kulifanyia kazi.

Wanasajili still hakuna improvement yeyote.
Jamaa kauchukulia huu usajili kwa jicho la wepesi sana. Tumejaza wachezaji average sana. Marcus Rashford ana umri wa miaka 23 na Anthony Martial ana miaka 25 ila hawajawahi kufunga goli zaidi ya 20 za EPL japokuwa wamecheza zaidi ya misimu mitano kila mmoja kama regular starters.

Mchezaji kama Jamie Vardy pale Leicester City anafunga goli zaidi ya 20 EPL kwa misimu mitatu na mmoja wao aliwaongoza kubeba EPL sisi tumejaza vichezaji vipo misimu karibu saba havijawahi kufunga hata goli zaidi ya 20. Tumechoka kuvumilia vichezaji vya hovyo.
 
Yani tukae hapa kupeana moyo tatizo ni DM, mwaka jana tuliimba wimbo wa tatizo ni wing ya kulia, haya wing ya kulia imekuja tumeanza wimbo wa DM wkt tuna Fred, tuna Tommy n.k, tatizo ni kiongozi tulikosa, Bruno ni kiongozi ila hatoshi kwa ss, tulimhitaji CR7 au Messi kuliko kima yyte yule duniani kwa sasa.
Inapotokea nafasi ya kumsajili Cristiano au Lionel hata kama ulikuwa unahitaji golikipa na wote wameumia, unasitisha mpango halafu unapandisha kipa hata mwenye miaka 16 atadaka ila lazima fursa uitumie. Kila mtu anataka kuwasajili hawa watu ila wanajua mwenye kisu kikali ndiye atakula nyama.
 
Huu usajili japo mzuri ila ni wa Kudandia
Man City walishajitoa ndio ninyi mkaingia
Man u hamkusahau dandia dandia kama hizi huko nyuma iliwacost
Sanchez alikuwa aende Man city ninyi mkapiku
Lukaku alikuwa aje Chelsea ninyi mkapiku

Cristiano Ronaldo katika umri huu bado anao uwezo mkubwa sana japo umeshuka sana
Swali ni je mlimuhitaji, jibu hapana, angekuwa Ronaldo ni mdogo wa miaka 20-25 tungesema alihitajika kwa ujenzi wa timu wa muda mrefu
Pamoaj na kuwa CR7 hakuhitaji je bado atawafaa, jibu ni yes, bado Ronaldo ana uwezo wa kufunga goli 20 kitu ambayo hakuna winga hata mmoja wa sasa mwenye uwezo huo
Madhara yake makubwa ni overload ya mshahara
Kwani ni hela zako?
 
Cr7 anaweza kupa magoli 20+ ambayo wachezaji wengi pale utd hawawezi kukupa.

Story za DM, Full Back, Striker, tumeshazichoka. Kila msimu tuaweka eneo la kulifanyia kazi.

Wanasajili still hakuna improvement yeyote.
Tutakwenda na 4-4--2..

CR7 ...cavani 9


Rashford... Pogba Bruno. Sancho.

Shaw,magwea,varane bisaka.

Tutaachana na DM..

Kama ole yupo serious na makombe,..
 
Jombaa, Ktk dirisha tulilowahi kufanya vizuri basi hili lipo very strategic nina uhakika Cristiano Ronaldo tumemchukua ili kuongeza hali kujiamini kikosini.

Vichezaji vya hovyo sasa ni muda muafaka kufagia nyumba. Tunataka heshima yetu irejee tumevivumilia sana vichezaji vya hovyo.

Pale mbele Ed, Cristiano, Mason na Bruno wengine wote waji-prove kwa nini wapewe nafasi.

Furaha niliyonayo hapa haina kifani. Ni kweli tunahitaji kiungo wa ulinzi ila bado tulihitaji mtu mbele aliye serious ili aje kutusaidia kuondoa vichezaji vya hovyo tulivyovijaza pale.
Mkuu,,,kwa kiungo wa ulinzi sio shida sn kwa sasa.

Tutacheza 4 -4--2..

Cr 7 na cavani 9.

Wote watakuwa up front.


Ni wao timu pinzani wanapaswa kujilinda na sio man u..

Man u ni attack ,,attack..

Martial anapaswa akabidhi no CVN 9 kwa cavani...

Ronaldo apewe CR7..

Pogba na Bruno wanacheza kati..
 
Oh miaka oh miaka, cavani ana umri gani?

Kaangalie kama babu cavani hajawazidi akina firmino na timo wena na ujana wao kwa ufungaji msimu uliopita, kwa sasa mashabiki lia lia wa cheltako,liverfool,arsenane,manshit na mashoga zenu inabidi mtoe unyumba kwa utulivu kabisa, ronaldo analeta ari ambayo kuizima unahitaji usaidizi wa umoja wa mataifa. ni hayo tu
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Tumemsajili ili asiende city..............
 
Back
Top Bottom