Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Jana tu niliposoma habari za city kumuwania Ronaldo, nikajiuliza swali kuwa, Ronaldo atamsaliti mwalimu wake wa upasiaji nyavu (Ole) kipindi akiwa kinda pale United? Leo inatangazwa karudi nyumbani, watatukomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
£200K unasema ndogo chief?

Ujue ni moja ya sababu ya wachezaji kukosa timu?
Including Image rights mkuu, hapo unakuta mshahara ni mdogo.

Na immediately Inter walipomuuza Lukaku walimuulizia Martial kma yupo Available,

Wachezaji wasio na soko ni Kina Jones, ila hawa vijana wetu Kina Rashford, Martial, Greenwood, Mc tominay na wengineo wala sio ngumu kuwauza.
 
Mashoga FC
habari za jioni gay gooner?
download-1.jpeg
 
Mmeanza matambo sasa. Ila kusema ukweli usajilu huu una tija ndani na nje ya uwanja (business wise).

Hongera zenu.
Hapana nikiangalia pogba kwa sasa alivyoanza nafarijika wanamuongezea molari had dakika hii lina assist 5 soon litaanza kucheza kitimu sasa walipatie Ruben Neves mzee wa mipasi liendelee kuwa free kule mbele daaaa mchawi hela tu ningeenda uingereza kuchek mech hata moja
 
Hapana nikiangalia pogba kwa sasa alivyoanza nafarijika wanamuongezea molari had dakika hii lina assist 5 soon litaanza kucheza kitimu sasa walipatie Ruben Neves mzee wa mipasi liendelee kuwa free kule mbele daaaa mchawi hela tu ningeenda uingereza kuchek mech hata moja
Pambana mzee kidogo kidogo tu limbikiza ukiwa na malengo mbona unaenda tu. Sasa Pogba aache ufaza kama ndio mwenye team maana mwenye team yake kaja sasa . 😂😂
 
Kuna siku nilisema kitendo cha Messi kuwa available na Man Utd kumbwela tulizingua pakubwa

Hiyo hiyo formula ndio Man Utd waliyo apply kwa Ronaldo

Kuna wachezaji hata kama hawakuwa kwenye mipango yako, wakiwa available unapaswa kuwabeba tu

CR7 karibu nyumbani
 
Dah... Kweli maisha hayapo fair

Wakati kuna timu imesheherekea kumrudisha nyumbani CR7, eti kuna timu inashangilia kumrudisha Lukaku nyumbani
Huyo lukaku kule italy alisaidia timu kubeba ndoo vp cr kule alisaidia mwka huu juve kubeba ndoo..?
 
Back
Top Bottom