Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila wakuu Man utd tuna kikosi kikubwa sana this season
Screenshot_20210827-150919.jpg
 
Hakuna kitu au jambo lolote lile chini ya dunia hii likakosa bahati, hata hao wazungu wenyewe wanajua hilo na wanaiita lucky, sisi tumekosa kujituma na bahati pia na ndiyo maana unakuta tunapigiana penalti 10 zote zinaingia ila yetu ya 11 tunakosa.
Huwezi kuwa na bahati bila kujituma.

Nimeuliza pale kuja kwa Ronaldo kutaongeza au kupunguza laissez faire attitude ya Ole ?
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Huu usajili japo mzuri ila ni wa Kudandia
Man City walishajitoa ndio ninyi mkaingia
Man u hamkusahau dandia dandia kama hizi huko nyuma iliwacost
Sanchez alikuwa aende Man city ninyi mkapiku
Lukaku alikuwa aje Chelsea ninyi mkapiku

Cristiano Ronaldo katika umri huu bado anao uwezo mkubwa sana japo umeshuka sana
Swali ni je mlimuhitaji, jibu hapana, angekuwa Ronaldo ni mdogo wa miaka 20-25 tungesema alihitajika kwa ujenzi wa timu wa muda mrefu
Pamoaj na kuwa CR7 hakuhitaji je bado atawafaa, jibu ni yes, bado Ronaldo ana uwezo wa kufunga goli 20 kitu ambayo hakuna winga hata mmoja wa sasa mwenye uwezo huo
Madhara yake makubwa ni overload ya mshahara
 
Cristiano Ronaldo karudi Man U.

Messi yupo PSG.

Romelu Lukaku yupo chelsea.

Kylian Mbappe mda wowote atakua Madrid.

Harry kanne still yupo spurs.

Grelish yupo Man City.

Benjamin Mendy in jail kwa ubakaji.

Arsenal wapo wapo tu hahahaha dah by the way what fantastic transfer window.
Halaand inasemekana psg
 
Sijafurahishwa na usajili wa Christiano Ronaldo.
Why?

Ronaldo ana miaka 36 as of today amepewa Contract mpaka 2023.

Kununuliwa kwa Ronaldo kutatuathiri hapa.
1. Hatutaweza tena kununua DM kwajili ya kuifanya timu yetu icheze kwa uhuru zaidi.

2. Usajili wa Ronaldo unaenda kupunguza gametime kwa Mason Greenwood, Rashford even Sancho kwa sababu either Ronaldo atatakiwa kucheza kama striker au Left wing.

3. Usajili wa Ronaldo unaenda kufifisha zaidi ndoto ya kumsajili Haalland au Striker mwingine yoyote katika kikosi chetu kilichopo kwenye rebuild.

4. Usajili wa Ronaldo unaenda kuongeza idadi ya wazee pale United kutoka watano mpaka kufikia 6. Mata, Matic, Heaton, Grant, Cavani, na Ronaldo.

5. Uwepo wa Ronaldo mwenye miaka 36 uwanjani unaenda kutufanya tucheze na mchezaji mmoja pungufu kwa sababu Ronaldo wa sasa hakabi, anakabika kirahisi sana na tukumbuke timu yetu inacheza kwa tabu sana kwenye final third.

6. Tunalazimika kutafuta mfumo mpya wa uchezaji kuaccomodate CR7 katka kikosi chetu.hii itahitaji muda pia.


Swali la kizushi je tumemsajili CR7 kwa sababu tunamhitaji au tumemsajili ili asiende Man City???


Welcome the GOAT.
Jombaa, Ktk dirisha tulilowahi kufanya vizuri basi hili lipo very strategic nina uhakika Cristiano Ronaldo tumemchukua ili kuongeza hali kujiamini kikosini.

Vichezaji vya hovyo sasa ni muda muafaka kufagia nyumba. Tunataka heshima yetu irejee tumevivumilia sana vichezaji vya hovyo.

Pale mbele Ed, Cristiano, Mason na Bruno wengine wote waji-prove kwa nini wapewe nafasi.

Furaha niliyonayo hapa haina kifani. Ni kweli tunahitaji kiungo wa ulinzi ila bado tulihitaji mtu mbele aliye serious ili aje kutusaidia kuondoa vichezaji vya hovyo tulivyovijaza pale.
 
Back
Top Bottom