Ole anamentality moja mbovu sana
Chelsea nnachowapendea hawana nonsense kwenye football
Ukicheza poa unabaki ukizingua unaenda, heck hata ukiwa mzuri lakini huelewekieleweki unaenda mf tammy abraham na kwenye takwimu ndo timu yenye makombe mengi kwanzia 2005 kuja mpaka sasa hii ni kutokana na hio slogan yao
Sasa man u sijui kocha ana matatizo gani. kwa ninavyoona chelsea mpaka sasa watu kama mata,matic,martial,philjones, perreira,fred. wasingekuepo chelsea mpaka sasa.
Ila sisi man u angekuepo tammy kwetu nahisi asingeondoka kabisa maana ole anakumbatia watu wasio na umuhimu afu wenye umuhimu anawaacha benchi like wtf is wrong with him
I just wanna hit him so baaaad labda kaubongo katikisike kidogo akae vizuri




maana sasa tunashindwa kumuelewa kwa kwel
ila pale man u there's lotta deadwood just imagine matic na martial wako first 11 ya Epl na watu kama southampton hivi kweli? Matic is past his prime already leave the man alone
Huyo martial ffs kwanza sio namba 9 ..put greenwood namba 9 hapo. Martial ashaonyesha hana muda na mpira tena sasa sijui ole anataka nn kumueka mbele afu alivo muoga he is always seeking to put two dm's in midfield
Sancho anamuanzisha benchi varane naye hayupo huko ulaya watu wanasajili na mchezaji anaemda straight kikosi cha kwanza unajiuliza huyu fala anawaza nini? Ni miaka mitano hatuna kombe na nahisi lishasahau lilikosa europa juzi tu hapa analeta upuuzi kwenye campaign ya ligi kuu huu upuuzi wa kuanzisha watu hawaeleweki unafanywa kwenye makombe madogo huko yeye analeta epl matches
Man.u kushinda kombe na huyu chizi sijui lini kwa kweli hapa tokea jana nina hasira mno kisa mtu alieko ulaya. Wale ambao wanapigaga makocha wale nilikua nawaonaga hamnazo ila kama naaanza kuwaelewa hivi
#oleout ffs pleaaaaaseee the man is a coward