Usajili ndo tumeufunga hivyo..don't expect another big signing.Kwa jinsi tulivyoanza msimu kwa style,ningependa tuendeleze moto ule ule dhidi ya timu yoyote itakayokuja dhidi yetu.
Lakini hofu yangu ni namna Ole atakavyozubaishwa na McFred yake asahau kuhusu usajili wa DM mwingine kitu kitakachotukosesha plan B kwenye baadhi ya game.
Nilipenda Ole alione hili tatizo kabla mechi zijazo hazijamuonesha pindi tunapostahili kutokuwa na McFred dimbani.
Imani yako ni ndogo sana hadi mechi kama hii?OGS ameanza na Matic na Fred.. then mbele Martial.. sijui leo kama tutatoboa.
Dharau hizo ndio zitasababisha tufungwe.Imani yako ni ndogo sana hadi mechi kama hii?

HATA HII CASTLE LIGHT HAISHUKI KWA RAHA LEONilikuwa nasubiri comment yako baada ya kumuona MartialNAONA YALE MAUMIVU YA MARTIAL KUANZA YAMENIRUDIAHATA HII CASTLE LIGHT HAISHUKI KWA RAHA LEO
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
HUWEZI KUSHINDA NA MARTIAL...JAMES, TOMINAY NI WA MUHIMU SANA KWENYE HII TIMUNilikuwa nasubiri comment yako baada ya kumuona Martial
Mkuu ndoto yako huenda ikatimia aisee....mzigo msipoangalia unalala huo au kuna comeback?Leo nimeota man u tumefungwa 1 naombea hile ndo hiwe ni ya burudani tu kama zile za kupiga goal asubuhi
