kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,351
- 12,686
MY EARLY STARTING XI VS WOLVES JUMAPILI
=======
De Gea
AWB Lindelof Maguire Shaw
Fernandes McTominay Pogba
Greenwood Cavani Sancho
======
Wachezaji hawajitumi Ole anakunja tu nne juu pale kwenye kiti..
Aggressiveness yetu ipo chini sana..na tukiendelea hivi hata baada ya miaka kumi tutazidi kusindikiza tu watu bila trophy.
What the fuc.k...yaani uongozi wa timu hii umeshindwa kuwaoffload kina;
✓Lingard
✓Phil Jones
✓Perreira
✓Brandon Williams
✓Daniel James
✓Matic
Tunaendelea kukaa na vijitu goigoi..
Ongezea na useless players wengine kama;
✓Donny Van De Beek
✓Martial
Hii timu haina watu walio serious kuanzia Uongozi hadi Benchi la ufundi.
And what the f.uck was that yesterday away kit?.
ila ile jezi wallahi nikabaki kusema bora pundamilia.
Leta habari kamiliBBC sports/football bi mkubwa kaharibu hali ya hewa
Acha kumfananisha Olesendeka na Klopp. Klopp aliwakuta mabeki ni Sakho, Kolo Toure, Benteke, n alike. Na alisema kabisa itamchukua mpaka miaka minne kupata mataji.Ndo kwanza match ya pili watu mnamlaumu kocha bado games 36... tuwe na imani na ole... .. hata klop alipofika Liverpool ilimchukua muda ku win epl... so ole apewe muda.
Jezi za Arsenal, a.k.a jezi zenye laana![]()
![]()
ila ile jezi wallahi nikabaki kusema bora pundamilia.



SURE MKUUAntony Martial completed four passes today. Two was because of the kickoffs in both halves


Huenda wale jamaa ijumaa na jumamosi walizitumia kufanya mapenzi siyo mazoezi kila mmoja alionekana kuchoka kuliko kawaida,Antony Martial completed four passes today. Two was because of the kickoffs in both halves
Ole is a laissez faire manager na timu nzima iko hivyo hivyo.Katika mchezo wa mpira wa mguu ukimpata viongozi/kocha ambaye hayupo sirious basi hadi wachezani wanakosa umakini mchozoni kwasababu wanafuata na kuangalia anachofanya kosa au viongozi wao.
Unaona kinachowapa Arsenal sasa; mchezo unataka viongozi wa makini sana...ukizingua unakula kona.
Hata mpira wenyewe anakaa nao basi!ni wakati sasa wa antony martial kutolewa kwa mkopo
katika wachezaji wavivu wa man u ni yeye
note
ole anampenda kwasababu anauwezo wa kukaa na mpira muda mrefu
kuwezesha timu kujipanga
Is Cavani ready and fit?OGS should have some guts and drop 1 defensive midfielder. We have to be creative and attacking. Play your best players
We have the best players but you keep delaying to the formation that doesn't work for you consistently.
This line up for next match please.View attachment 1906021
Important on the bench.Apewa matumaini mapyaView attachment 1906070
Hivi Lindelof ana makosa gani kwenye timu yetu ?OGS should have some guts and drop 1 defensive midfielder. We have to be creative and attacking. Play your best players
We have the best players but you keep delaying to the formation that doesn't work for you consistently.
This line up for next match please.View attachment 1906021